Maisha ndivyo yalivo

kakuruvi

JF-Expert Member
Sep 2, 2009
770
256
Maisha ya staili hii yameshamiri sana hasa hapa Tanzania


Most 'First Class' students get technical seats, some become Doctors and some Engineers.
download
download



* The 'Second Class' pass, and then pass MBA, become Administrators and control the 'First Class'.
download



* The 'Third Class' pass, enter politics and become Ministers and control both.
download
download



* Last, but not the least, The 'Failures' join the underworld and control all the above.
download
download
download
 
Madaktari, Wahandisi, Wahasibu ni miongoni mwa watu wanaosoma sana lakini kiinua mgongo chao chaweza kisimfikie Mbunge wa muhula mmoja tu wa uchaguzi, kweli si kweli? kumbe ndio mana elimu si kipaumbele, aaaah kumbeee!

Maisha ya staili hii yameshamiri sana hasa hapa Tanzania


Most 'First Class' students get technical seats, some become Doctors and some Engineers.
download
download



* The 'Second Class' pass, and then pass MBA, become Administrators and control the 'First Class'.
download



* The 'Third Class' pass, enter politics and become Ministers and control both.
download
download



* Last, but not the least, The 'Failures' join the underworld and control all the above.
download
download
download
 
Success in school is a poor measure of success in life.

Ni kweli ila tukiliendekeza hili katika serikali umuhimu wa elimu utapungua siku hadi siku kwani wengi watapenda njia za mkato kufanikisha maisha, hata ikiwezekana kwa gharama kubwa ili tu ku-win maisha.
 
mhhh sikubalian na ww sana manake hao hao madoka na mainjinia wapo kwenye siasa na ni mawaziri na wabunge inategemea unamaanisha nn hasa.
 
mhhh sikubalian na ww sana manake hao hao madoka na mainjinia wapo kwenye siasa na ni mawaziri na wabunge inategemea unamaanisha nn hasa.

Sawa ila nachosema ni kwamba, wasomi wengi wanafanya kazi zenye utaalam mkubwa na wengi wao vipato vyao ni vidogo kwani wanalipwa marupurupu kidogo kulinganisha na kazi zao, ila watu wengine si wasomi kupindukia fani zao ni kwenye shughuli za kiutawala ndio wanaopanga hao wataalamu walipwe nini, na mtaalamu akianzisha kitu binafsi kinachofanana na utaalamu wake ataandamwa huyo mpaka basi na kuonekana ameiba, mfano Daktari akiwa na duka la dawa.
 
Back
Top Bottom