S Safre JF-Expert Member Sep 2, 2010 273 36 Sep 15, 2010 #61 Jk aseme nin kwan watanzania hatuoni si tutadanganywa tena chukua hatua 2010
JOYCE PAUL JF-Expert Member Jan 8, 2010 1,005 82 Sep 16, 2010 #62 maisha bora kwa kila mtanzania kweli kweli
SHUPAZA JF-Expert Member Aug 4, 2009 562 23 Sep 16, 2010 #63 Eeee sawasawa unajua "Baada ya dhiki faraja" huo ndio usemi alioucha babu sasa wadanganika vumilieni tu raha na utamu mtapata tu
Eeee sawasawa unajua "Baada ya dhiki faraja" huo ndio usemi alioucha babu sasa wadanganika vumilieni tu raha na utamu mtapata tu