kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,065
- 1,535
hi all!!
mimi ni mtu wa makamo, professional nakimbilia 40 yrs old...nimeoa, baba wa mabinti watatu..mke wangu naye ni 2 yrs younger ...professional...but somehow possesive
tulikutana chuo, tunakwenda vizuri tunapopanga na kutekeleza mambo...kiujumla Mungu anatutetea....
ila jambo moja tu!! mimi background yangu ni mtu wa clubbing...sina starehe nyingine yoyote zaidi ya kutafuta club nzuri yenye DJ mzuri ....na kukaa nyuma ya spika nikifyonza taskabaridiiiiii.....
mama watoto yeye ni mwanamaombi, na hajakulia mambo ya club...nice mother though...yeye na club ni kama simba na swala.....pia hupata stories kuwa klab ni full kujiachia...toto za kumwaga...
mimi huwa niko komited sana na kazi na resources zangu...niko kwenye public na business affairs up to saa 2 usiku.....natake sometimes kusupervise private enterprises...this means kuwa napata muda at most kuanzia saa 5 usiku kila siku.....na huu ndio muda wangu wa kuanza kula bata!
shida ni kuwa nikienda klab nikirudi usiku mama ndio hufungua gate....ina maana hata vijana hilo hawafanyi....halafu nakuta macho yake yamevimba kama ngumi...anasema anashindwa kupata usingizi.....
hii imenifanya nishindwe kufurahia maisha kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!yaani kwenda klab hadi nisafiri...huko tena inaweza kunicost nikashindwa kupafom vyema.......
nifanyaje mwenzenu?? maana najaribu hata kufosi kushangilia mpira wa man u lakini haupandi kabisaaaaaaaaaaa???
ukiniangalia nianza kubehave na kufanana na fifteen years older!!!! wajameni hapo tunafanyaje?
mimi ni mtu wa makamo, professional nakimbilia 40 yrs old...nimeoa, baba wa mabinti watatu..mke wangu naye ni 2 yrs younger ...professional...but somehow possesive
tulikutana chuo, tunakwenda vizuri tunapopanga na kutekeleza mambo...kiujumla Mungu anatutetea....
ila jambo moja tu!! mimi background yangu ni mtu wa clubbing...sina starehe nyingine yoyote zaidi ya kutafuta club nzuri yenye DJ mzuri ....na kukaa nyuma ya spika nikifyonza taskabaridiiiiii.....
mama watoto yeye ni mwanamaombi, na hajakulia mambo ya club...nice mother though...yeye na club ni kama simba na swala.....pia hupata stories kuwa klab ni full kujiachia...toto za kumwaga...
mimi huwa niko komited sana na kazi na resources zangu...niko kwenye public na business affairs up to saa 2 usiku.....natake sometimes kusupervise private enterprises...this means kuwa napata muda at most kuanzia saa 5 usiku kila siku.....na huu ndio muda wangu wa kuanza kula bata!
shida ni kuwa nikienda klab nikirudi usiku mama ndio hufungua gate....ina maana hata vijana hilo hawafanyi....halafu nakuta macho yake yamevimba kama ngumi...anasema anashindwa kupata usingizi.....
hii imenifanya nishindwe kufurahia maisha kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!yaani kwenda klab hadi nisafiri...huko tena inaweza kunicost nikashindwa kupafom vyema.......
nifanyaje mwenzenu?? maana najaribu hata kufosi kushangilia mpira wa man u lakini haupandi kabisaaaaaaaaaaa???
ukiniangalia nianza kubehave na kufanana na fifteen years older!!!! wajameni hapo tunafanyaje?