Maisha kama Bongo Star Search..Uzushi mwingi....

Vitisho kama hivi tulishaanza kuambiwa toka tupo tumboni..tunaenda shule bado tunaambiwa,tunaajiriwa bado tunaambiwa.Hadi kwenye familia story ni hizo hizo...Ndio maana inakuwa ngumu KUAMINI TOFAUTI(eg YES I CAN)


tunachosahau ni kuwa
hata hiyo elimu ni 'ubunifu wa watu'
badala ya kukazania mtoto aone hiyo 'elimu' ndo kila kitu
na kuikariri

tulipaswa kuwalea watoto waone 'they can do better'

ndo maana Bill Gate ni drop out

na still yupo pale
 
tunachosahau ni kuwa
hata hiyo elimu ni 'ubunifu wa watu'
badala ya kukazania mtoto aone hiyo 'elimu' ndo kila kitu
na kuikariri

tulipaswa kuwalea watoto waone 'they can do better'

ndo maana Bill Gate ni drop out

na still yupo pale

Naomba nikusahihishe hapo kwenye red..Tulipaswa kuwaaminisha 'they can do best'...Nakumbuka kitabu kimoja nilisoma cha Think Big..kuna mama aliyekuwa anamsisitizia mwanawe kuwa he can do best..na ilimsaidia sana kufika mahali pa juu.
 
Aiseee The Boss umefikiria mbali sana......mada nzuri sana.

Kifupi ni kwamba watu huwa hawajifunzi kujitegemea, hawajiamini wao kama wao mpaka waambiwe na watu wengine......hii shoo ni nzuri kama kila mtu ataamua kuicheza peke yake tena huku akijua.....unaweza kufeli kwenye jambo moja na kufaulu kwenye jambo jingine kikubwa ni kutokukata tamaa......haya maisha kiukweli ukiyakosea kidogo utajichukia na kujutia uwepo wako!......tusiwe wepesi wa kukata tamaa......tukianguka tunyanyuke na kusonga mbele!
 
Last edited by a moderator:
Naomba nikusahihishe hapo kwenye red..Tulipaswa kuwaaminisha 'they can do best'...Nakumbuka kitabu kimoja nilisoma cha Think Big..kuna mama aliyekuwa anamsisitizia mwanawe kuwa he can do best..na ilimsaidia sana kufika mahali pa juu.

mi naona both ni sawa
 
mmmh, kuna ukweli kiasi kikubwa hapa.

Ni kweli, ukishindwa jambo fulani hasa unaloamini ni la muhimu maishani kwako lazima unavunjika moyo kwa kiwango fulani.

Lakini cha muhimu ni kujifunza kuwa unaweza kutofanya vizuri katika A lakini ukafanya vizuri katika B.

Tatizo naloliona maisha ya kiswahili, kama wanajamii hatuandaliwi au hatujiandai au hatujajua kama kuna kuandaliwa tangu ukiwa mdogo na kujua uko competent kwenye jambo gani so ulifuatilia au utilie mkazo kwenye hilo.

Naweza kuwa academician mzuri lakini si mwimbaji mzuri, najikuta napoteza muda wangu bongo star search kumbe ningeweza kuwa mwalimu mzuri wa hesabu.

Maisha yetu tunayaendesha kwa 'trial and error', style hii inaweza kukujenga kama ni strong character au kukudemoralise kama ni weak character(if you can't handle failures)

Pamoja na hayo, kikubwa ni kujitambua wewe ni nani kama individual? Una njozi gani? Au unataka kuacha mark gani kwa hiyo jamii inayokuzunguka. Ukishajua hayo basi fuata njozi yako, naamini unafanikiwa.

Unajua wakati mwingine unashangaa, eti prof mzima ndoa imemshinda, kumbe prof hana njozi ya kuwa na ndoa nzuri zaidi, njozi yake ni kuandika paper nyingi na kupata awards.
Basi ukute kaoa tu sababu jamii itamuuliza mbona hukuoa na kuzaa watoto?

Maisha ni complicated sana, bila kujua unataka nini au njozi yako ni nini unaweza kuwa mtu wa kuuguza maumivu tu.
 
Pamoja na kuwa hata elimu ni ubunifu wa mtu.
Bado wapo wanaoifanya vizuri na wanashine vizuri sana kwa shule hiyo hiyo.

Kuna mtu anashindwa kwenye uimbaji na shule inakuwa ndo last resolution, japo hatavumbua kitu kipya lakini huko ndo anafanya better kuliko shemu nyingine.

Kikubwa, kujua njozi na kujua uwezo wa kufanya hicho kitu kama upo.

Kuna wakati nilikuwa na njozi za kuwa 'marraya keri' wa TZ lakini kiukweli upande wa sauti hata mbuzi akifunzwa ananishinda. Baada ya kujikubali hapo, nikabadili uelekeo haraka which nafanya better kuliko kuimba.

tunachosahau ni kuwa
hata hiyo elimu ni 'ubunifu wa watu'
badala ya kukazania mtoto aone hiyo 'elimu' ndo kila kitu
na kuikariri

tulipaswa kuwalea watoto waone 'they can do better'

ndo maana Bill Gate ni drop out

na still yupo pale
 
Pamoja na kua nakubaliana na wewe kwa kiasi kikubwa
labda tu niongeze kua huwezi ishi kwa show yako pekee
Sometimes I need to assess myself from other people.
lazima kuna factors toka kwa wengine zinaazo ingia hapa:

kwanza nahitaji mafanikio yangu yawanufaishe niwapendao
Nashindwa ku-enjoy mafaanikio yangu kamani yangu tuu
Lazima mtu/watu wa karibu yangu pia waweze kufurahia
Haya ni kwangu. Naamini sote tunahitaji external impact.

Pili nahitaji recognition ya mafanikio yako toka kwa watu
kuna watu fulani ambao lazma nahitaji pongezi toka kwao
Sio kwamba bila hilo pongezi sikubali mafanikio yangu, no
but ni ile tu,nahisi ni watu wanao jua lengo na ndoto zangu

Mfano mdogo tu: Kuna mtu anandoto ya kua mwana siasa
anaanza kutekeleza action plan yake na anafikia hatua
anahisi ndio amefanikiwa sasa, anaanza kujisifia kua kafika
ila watu wote wakiangalia, hakuna mafanikio yoyote hapo.
huyu nae utasema asijali aendelee kuamini kua kafanikiwa? King'asti, mtu huyu kafanikiwa kweli? au anajidanganya?
 
Last edited by a moderator:
Ni ngumu kujiondoa katika fikra tegemezi katika vitu ama watu,tumekuwa tukikaririshwa tokea tukiwa wadogo.Imeendelea kujengeka katika maisha yetu kupitia hadithi na simulizi mbalimbali.hivyo basi inakuwa ngumu kwa mtu kufikiri kuwa kuna njia mbadala katika maisha na sio ile aliyozoea kukaririshwa kwa maigizo au hadithi.niwakati wakujinasua kwa fikra mgando tulizo nazo na kuwa huru!
 
Nakubaliana na wewe kiasi lakini hebu tusifikirie kizungu sana lets think kwa kujiweka kwenye position ya watanzania wengi..hasa ukizingatia nchi yetu nayo inacheza show za nchi zingine(developed countries)..watu wengi waliopo vijijini ni maskini kuliko mijini kwa sababu wengi hawajacheza show za wenzao(hawana elimu,kazi) na wenye elimu wengi wamekimbilia mijini kucheza show za watu na zimekua msingi wa mafanikio yao!kwa maisha ya kitanzania ni ngumu sana(japo inawezekana) kustand on your own bila kua na msingi(fedha,elimu) labda kama una special talent!
Hivi bila kua na resources( elimu, fedha au special talent) unawezaje kucheza show za maisha ya kitanzania on your own??
 
....life's a game of chance...kama chess au checkers, you can either take your time playing it safe or be tough and rough risking yourself left, right and centre while enjoying it!
 
Nimekukubali mzee, ol I can say to ol of us ni kwamba The Time Is Now, Let us start "preparing our own Shows" and dance them on our own styles, kwa kujiamini na kujitoa toka moyoni na TUKIMSHIRIKISHA MUNGU PIA, tutafanikiwa, kuna kuanguka lakini believe me ni 5/100.
THIS IS THE TIME
 
sio lazima kushiriki
unaweza tu kuamua utashiriki kwenye 'show zako tu in life'
muaandaaji ukiwa wewe mwenyewe

sure ure very right.as for me ndio kwanza naanza maisha so still preparing my own show! Na nina uhakika nitatoka tu.one day yes regardless of where i've been through, i know my paradise awaits. Ntakukaribisha nikifika The Boss
 
Last edited by a moderator:
Mimi nilifeli darasa la saba nikapelekwa kusoma shule ya private sekondari. Huko nako form four nikafeli (nilipata divisheni 4).

Baada ya hapo nikatimua zangu majuu kwenda kutafuta maisha. Well, kama wasemavyo...the rest is history.

Sasa hivi watu wenye mastaz zao nawakimbiza. Wale waliokuwaga wanakuwa wa kwanza darasani wengi wao ni choka mbaya tu. Nikikutana nao wananipiga mizinga.

Mashoree wengi waliokuwaga wakali enzi hizo sasa hivi wengi wao wameshazalishwa na kuachwa na wamekuwa vibibi tu. Usicheze na vumbi bana.

Haya maisha hayana kanuni na wala hayatabiriki.

baada ya kuula ndo ukaamua uninyang'anye bibi yangu sio?
 
mkuu The Boss,ninachojua mimi maisha ni sinema,we are actors katika a big show ambayo mwanzo na mwisho wake hatujui,uwe Bill Gates,uwe matonya,uwe Obama ,uwe Kikwete,uwe invisible uwe bishanga, duniani humu wote tunacheza makida tu.................anyway death is the greatest equaliser.
 
thanks The Boss kwa hii makitu umedrop kha! unamkuta mtu alifundishwa na wazazi kuwa ukiolewa NO divorce, ukiachika tu ni laana na mikosi na maisha yatavurugika! mtu anavumiliaaa weeee anapigwa, ananyanyaswa kwa namna moja au nyingine , yaani its full inhuman acts in her/his life but yupo tu just bcoz of the word CURSE! but nimeona wengi walijitoa kwenye mikono hiyo dhalimu na kuja kuwa mifano kwa x's wao popote wawaonapo.

ndivyo tunavyotakiwa kuifanyia hii nchi, ni muda sasa tuseme basi na CCM, itupe talaka yetu na tutafute MUME/CHAMA kingine kitakachotukomboa. hii dhana ya kikija chama kikingine kutatokea matatizo ife, AND LET IT BEGGIN WITH US! life is not how it is from stories and other pipos aspects, but it is how u take it with your DOTS.........! in short MAISHA YAMEJAA KUCHAGUA NA MUDA ALWAYS HAUTUSUBIRI!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom