KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,575
- 8,595
Nikianzia Ikulu na Wizara zote,Balozi zote Mashirika yote ya kimataifa yakaenda pale Dodoma Na kila HQ ya shirika lolote likawa Dodoma je hizi foleni zakila siku, Jumatatu hadi Jumatatu! haziwezi kuisha??maisha gani ya kuamka saa kumi kila siku??:angry: