Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Wajua nimeona kuna mtu kaanza na Mbowe hapa mimi nome toka ziarani katika Majimbo hayo siwezi kusema kitu ni aibu mno na watu wana maisha magumu ya kutisha na serikali Yao ya CCM inakuwa ya kodi na wako madhara kwani.
Ni aibu ya kufa mtu si kawaida. Tukianza kusema habari za Majimbo basi CCM wanaongoza kuwatumia wananchi kuingia madarakani na wana mateso mengi sana wewe usitake kujua kabisa.
Songea inatisha kwa kuwa nyuma lakini Nchimbi kapeta u NEC kwa kura kibao.
Ni aibu ya kufa mtu si kawaida. Tukianza kusema habari za Majimbo basi CCM wanaongoza kuwatumia wananchi kuingia madarakani na wana mateso mengi sana wewe usitake kujua kabisa.
Songea inatisha kwa kuwa nyuma lakini Nchimbi kapeta u NEC kwa kura kibao.