FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Jamani mi nina mtazamo tofauti na wenzangu, naona kama vile matukio ya moto yanapangwa..... Mi sidhani kama kweli itilafu za umeme ndio chanzo cha matatizo hayo kusema kweli.
Naona wafanya biashara wamejanjaruka kiasi cha kwambawanataka kulipwa na bima wajenge kitu kikali zaidi kama yule jamaa wa Paradize Bagamoyo.
Napenda kumpa pole huyo mama mwenye ukumbi na hongera pia kwa kufanikisha dili yake.....................
watu hamkosi la kusema ;loh