St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,633
- 4,515
Haya watanzania kesho ni uchaguzi na haya ndio maisha bora kwa kila mtanzania tutafakari na kutumia vyema kura zetu.
dada... hiyo ndio silaha ya fisadi... ujinga, umaskini na maradhitatizo linakuja pale ambapo....huwezi mwambia kitu yoyote huyo bibi kuhusu CCM...ni dam dam
tatizo linakuja pale ambapo....huwezi mwambia kitu yoyote huyo bibi kuhusu CCM...ni dam dam
Haya watanzania kesho ni uchaguzi na haya ndio maisha bora kwa kila mtanzania tutafakari na kutumia vyema kura zetu.