Nyani Ngabu Platinum Member May 15, 2006 92,227 113,583 Mar 11, 2010 #2 Mbona hii hali ni ya siku zote....
Regia Mtema R I P Nov 21, 2009 2,970 864 Mar 11, 2010 #3 Mbona hawa wana afadhali,wana maji tena angalu yanoneka masafi namaanisha kwa rangi.wengine hata haya maji hawana kabisa.
Mbona hawa wana afadhali,wana maji tena angalu yanoneka masafi namaanisha kwa rangi.wengine hata haya maji hawana kabisa.
saitama_kein JF-Expert Member Oct 29, 2009 981 99 Mar 11, 2010 #4 Maisha bora ni kwa mafisadi na jamaa zao.....
Wacha1 JF-Expert Member Dec 21, 2009 16,681 8,233 Mar 11, 2010 #5 saitama_kein said: Maisha bora ni kwa mafisadi na jamaa zao..... Click to expand... Kwa sababu tumewaachia wafanye hivyo.
saitama_kein said: Maisha bora ni kwa mafisadi na jamaa zao..... Click to expand... Kwa sababu tumewaachia wafanye hivyo.