Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Maisha bora kwa kila mtanzania kweli ndo Haya??
Heri ya hawa wana maji safi ya kunywa!
Bora ya hawa wanachota maji masafi kabisa hayo nenda Singida au Tabora na Shinyanga huko utawaonea huruma maji machafu sana.
Kwani unadhani hiyo picha imepigwa wapi? Minyukhe- Singida for your information.
Oooh my god maisha yetu yanasikitisha sana !!! Inauma sana
Mbona haya tambarare sana
Kuna wananchi hawajui mfereji wala bomba wao na vishimo tu wala siyo visima
Mh! Hii slogan ya "Maisha bora kwa kila mtanzania" ni kiini macho jamani. Inawezekana mwenye kutoa slogan hii alikuwa na maana tofauti na ile tunayoilewa. Usiwashangae hao uwaonao katika picha hii, bora maji yapo na ni masafi. Hebu tafuta muda utembelee Mkoa wa Arusha na Manyara wanakoishi wenzetu Wamasai ndio utaipata tafsiri halisi ya slogan hii kama sio kuishangaa. Bado tunahitaji kupiga mbio ili kufikia maisha haya. Ingekuwa vyema tukapata ufafanuzi zaidi ya nini maana ya "Maisha bora kwa kila Mtanzania" kabla ya kupiga kura Octoba
Bora ya hawa wanachota maji masafi kabisa hayo nenda Singida au Tabora na Shinyanga huko utawaonea huruma maji machafu sana.
Kwani unadhani hiyo picha imepigwa wapi? Minyukhe- Singida for your information.
afadhali hao hata maji wanayaona.
Muheza hamna maji hata kiduchu, watu wanayafuata Tanga mjini.
so sad!
Kuna sehemu watu wanatembea km25 mpaka 40 kufuata maji tu ndoo moja.
Bora ya hawa wanachota maji masafi kabisa hayo nenda Singida au Tabora na Shinyanga huko utawaonea huruma maji machafu sana.