maisha bila marafiki

1. Kuna ule urafiki wa kufuatana kila mahali mpaka unaona watu wengine ni wapumbavu katika sayari hii, huu urafiki ni mbaya siku utakapopata shida watu hawatakujali kabisa maana haiwaingii mioyoni wao, wanakuchukulia kama vile huwajali heshima zao.
2. Kuna urafiki ambao ni kama bahari, kila mahali urafiki ni wa kubalance au wa kiasi, huu ni mzuri maana hata Mungu hupendezwa na hili, ni kama unajali unachokiona mbele ya macho yako au mbele ya mzunguko wa maisha yako na ya wengine.
3. Kuna ule urafiki wa kuchagua, urafiki wa pesa tu, au urafiki wa biashara tu, au urafiki wa usharobaro tu, au urafiki wa status ya juu au matawi ya juu katika madaraka! Lkn katika urafiki wa aina hii upo mzuri na mbaya vilevile, kuna urafiki unaodumu na ule haudumu kwa mema au mabaya. Wale ambao wanapenda kujishaua sana katika maisha yao kuonesha wao ni wa matawi sana hawakosekani humu.

Binafsi nafagilia sana ya kuwa na urafiki wa kama bahari, wa kubalance kutegemea na hali mawasiliano baina ya mtu na mtu! Ni rahisi kusukuma maisha kupitia urafiki wa aina hii.
 
mimi sina rafiki kabisanaamanisha urafiki serious,nakumbuka wakati nikiwa mdogo nilikuwa na rafiki tuliyesoma wotenafikiri ni ngumu sana kupata rafikilakini watu wa kawaida tunaongea vizuri tunaishi vizuri na tunakula vizuri pamoja,thats all
kwa mara ya kwanza najitokeza kuomba urafiki kwako mpenzi rosemarie, uko tayari sasa kuwa na rafiki atakaekujali hadi mwezini?
 
Mimi sina rafiki nina company za juu juu tu. Kwa kifupi siwezi kushare siri yoyote au kumuongelea mtu kwa mtu mwingine kitu nachojua kikijulikana itakuwa soo. Hii imenisaidia kutokugombana na watu. Kwani naongea vitu sensitive na my hubby tu. Wengine waliobali tunapiga porojo za magengeni. Naona tu hao wanaojifanya marafiki jinsi wanavyokwaruzana now and then. Mimi sijawahi gombana na mtu kwani I always calculate what I say kwani siamini mtu.
 
Rafiki!!!wa kweli ,Ni raha sana tena ni baraka ukimpata,lakn ni ngumu sana kumpata rafiki ktk ulimwengu huu.Nimejitahidi sana kuwa na marafiki lakn nimeshindwa.Wengi niliotegemea ni marafiki wamenileti dauni..Lakn hata mm nadhani kuna watu walitarajia niwe rafiki wa karibu sana kwao na nikawaleti dauni vilevile.No body is perfect,cha msingi ukimpata rafiki ufike mahali ukubaliane na baadhi ya mapungufu yake.
 
Mimi sina rafiki nina company za juu juu tu. Kwa kifupi siwezi kushare siri yoyote au kumuongelea mtu kwa mtu mwingine kitu nachojua kikijulikana itakuwa soo. Hii imenisaidia kutokugombana na watu. Kwani naongea vitu sensitive na my hubby tu. Wengine waliobali tunapiga porojo za magengeni. Naona tu hao wanaojifanya marafiki jinsi wanavyokwaruzana now and then. Mimi sijawahi gombana na mtu kwani I always calculate what I say kwani siamini mtu.

Wewe kweli mumeo unampenda maana huachi kumrejea kila upatapo fursa! Au nimekosea?
 
Wakati mwingine unaweza kua better off without kuepuka matatizo yasiyo ya lazima ila ni vizuri ukawa na mtu wa karibu unaeweza kushea nae mambo yako ukihitaji.

Mi nna mpango wa kuwamwaga nlionao...maana watu wengi ni utata mtupu.
 
Wakati mwingine unaweza kua better off without kuepuka matatizo yasiyo ya lazima ila ni vizuri ukawa na mtu wa karibu unaeweza kushea nae mambo yako ukihitaji.

Mi nna mpango wa kuwamwaga nlionao...maana watu wengi ni utata mtupu.
Hao ulionao lizzy sio marafiki,ni acquaintances tu ndugu yangu
 
Hao ulionao lizzy sio marafiki,ni acquaintances tu ndugu yangu
ZD marafiki wazuri wapo na wazushi nao hawakosekani.Kuna dada mmoja ambae tupo karibu mpaka watu wasiotujua sana hua wanadhani na kuamini mimi ni mdogo wake wa damu...tumepitia mengi magumu yawe yake au yangu na hamna aliyemwangusha mwenzake.Kwahiyo naamini marafiki wazuri wapo na hata mimi nnao sasa nnachotaka kufanya ni kuwachuja.Wale wazushi wote by next month watakua nje ya maisha yangu....nasubiria tu muda muafaka.
 
ZD marafiki wazuri wapo na wazushi nao hawakosekani.Kuna dada mmoja ambae tupo karibu mpaka watu wasiotujua sana hua wanadhani na kuamini mimi ni mdogo wake wa damu...tumepitia mengi magumu yawe yake au yangu na hamna aliyemwangusha mwenzake.Kwahiyo naamini marafiki wazuri wapo na hata mimi nnao sasa nnachotaka kufanya ni kuwachuja.Wale wazushi wote by next month watakua nje ya maisha yangu....nasubiria tu muda muafaka.
Sasa unatumia vipimo gani kuwachuja?hebu tujuze,unawezadhani ni rafiki mnafiki kumbe masikini ni mapungufu yake na anahitaji msaada..
 
The boss kumbuka kwamba we people are living among and not between people

kama mtu fulani si adui yako basi ni rafiki yako huyo!

mwanafalsafa mmoja anaitwa plato alisema hivi binadamu hawezi kuishi peke yake na kuimarika katika hali ya upweke,lazima azungukwe na watu ili aendelee

moja kati ya hasara za kutokuwa na marafiki ni kujiona upo sahihi machoni pako mwenyewe hata kwenye makosa

mke wangu(ingawa bado sijaoa) naweza sema atakuwa ni zaidi ya rafiki kwangu kwa sababu ni sehemu ya ubavu wangu
 
A friend in Need is a Friend Indeed....., "Akufaae kwa dhiki ndio rafiki"
Whomever is there giving you a helping hand, at that particular moment is your friend..., We dont know about the future, no one does, lakini we know about the past and whomever has been there in the past thats your friend..

Circumstances might change, and he/she might change but if he wont be your friend anymore does not mean he/she wasn't your friend, Just Appreciate and don't expect a lot from people sababu watu wote wana mapungufu, so akikutenda msamehe sababu ndio ubinadamu as you know Zimwi likujualo halikuli likakwisha...

To make a long story short.., Yes Indeed you need people/friends in your life...., wakikutenda maybe its time for you to be a really friend na kuwasamehe.., its all about giving and not receiving... Tenda wema uende zako.., usingoje kurudishiwa....
 
Ukiwa nacho unakuwa na marafiki wengi, mambo yakienda mrama wanapungua. Hapo ndipo utagundua yupi wa kweli na yupi ni rafiki on purpose. Yaani mtu anakuwa rafiki manake anajua u can help him.

Ukifulia, marafiki wachache watakubali mgawane umaskini, hawa ndio marafiki wa kweli.
 
ni kawaida watu wengi hata hapa jf kuzungumzia faida za kuwa na mpenzi

na hasara za kutokuwa nae.....

pamoja na yote mtu anaweza kuamua kuwa single kwa maana ya kutokuwa na mpenzi

lakini mara chache sana huwa tunazungumzia hasara au faida za kuwa au kutokuwa na marafiki au rafiki

hapa nazungumzia rafiki wa kawaida ambae most of times ni wa jinsia moja......

swali ambalo nimejiuliza ni hili

ni lazima mtu kuwa na rafiki/marafiki?????/

hasara za kuishi bila rafiki/marafiki?????

ni kwa nini hatungumzii saana uurafiki huuu na umuhimu wake?????

binafsi huwa nawaa admire wale ambao their best friend unakuta ni mkewe au mumewe

wewe je unaonaje????????

best wako ni mkeo/gf/bf/mumeo??????

kama sio,je huyo best wako anahusika vipi na life yako???????/

unaweza kuishi bila rafiki?????????????

Ndio inawezekana.
I used to have a lot of friends in the past, nowadays I do have none. None at all. I've learnt to survive and do things on my own without depending on others. I hassle on my own. I do everything on my own. Today, I'm better off as a person as well as financially due to the fact that I have no one to pay the favour back or worried about friends' betrayals. True friendship is hard to find nowadays. As long as you can learn and be able to get things done on your own without nobody's help, yes you can live without friends.
 
Kuwa na rafiki kuna faida zake; kusaidiana na kushare idea zenu nk..,vile vile ni lazima huo urafiki uwe na mipaka vinginevyo ndio tunaona urafiki wa kuharibiana - jk vs mapacha3
 
funny
nilikuwa najiona kama mtu wa ajabu kwa kutokuwa na marafiki as ma best

kwangu i have associates only....

most of the time nipo alone....

kumbe wengi tuko hivyo....
 
A.BAADHI YA FAIDA ZA MARAFIKI
1.WATAKUSAIDIA UNAPOPATWA NA SHIDA.
2.WANAKUPA MATUMAINI UNAPOKATA TAMAA
3.HUTOA USHAURI UNAOWEZA KUKUSAIDIA
4.NI WAWAKILISHI WAKO WEMA.
5.HUNENA,KUTENDA NA KUFANYA MAMBO AMBAYO NAWE UNAYAPENDA.
6.HUKUONGEZEA FURAHA NA RAHA YA MAISHA.
7.WANAWEZA KUKUOKOA MIKONONI MWA MAUTI.
B.BAADHI YA HASARA ZA MARAFIKI.
1.UKIPATA SHIDA WANAWEZA KUENDELEA KUKOMELEA MSUMARI KUKUKOMOA.
2.WANAWEZA KUKUKATISHA TAMAA KITU AMBACHO UNGEFANIKIWA.
3.WANATOA USHAURI MBOVU USIOFAA HASA WAKIJUA HAWAFAIDIKI
4.WANAWEZA KUKUWAKILISHA HATA KWA MPENZI WAKO WAKALALA NAE.
5.BILA KUJUA WANAWEZA WAKAWA WANAKUZUNGUUKA KWA MANENO NA VITENDO KUKUHUJUMU.
6.WANAWEZA KUFANYA MAISHA UKAYAONA MACHUNGU SANA.
7.KWA KIFUPI HAKUNA AWEZAE KUKUUA KIRAHISI KAMA RAFIKI YAKO WA KARIBU.DATA ZOTE ANAZO.
...............Ha ha ha labda niishie hapo FIKIRI KWA MAKINI...UWE AU USIWE NA RAFIKI.
 
Mim niko na maisha sina rafiki so kwangu naona shida sana
ila nadhani rafiki anatakiwa awe rafiki kweli somebody you can count on and trust fuly daily
sasa sijui inawezekana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom