October
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 2,145
- 92
Huna jipya, kwani kutangaza hiyo sijui albadil au albadilini wameanza leo..??? Tangu miaka kadhaa iliyopita walidhumunia kufanya hivyo, issue siyo mtoa habari, ila ni habari yenyewe. AU NDO KAMA KAWAIDA YENU KUBISHA HATA OBVIUS ISSUES....??? Sijui ingekuwaje kama hicho kiwanja angenunua mkatoliki.......... Mtapewa sana viwanja vya serikali na mtauziana sana. Mkauze na kile chuo mlichopewa kule Morogoro..... YAANI DAR MPAKA MORO............DAR MMEPEWA NA MORO MMEPEWA....... Mnakoelekea mtauziana hadi MISIKITI.
Umesahau walisha wahi kumuuzia Mtikila nyumba ya Msikiti?