OPTIMUS TZ
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 391
- 65
Na CDM walivyo na papara, sitashangaa kweli wakilichukua hili garasa.
We Gagnija CDM tunajua tofauti ya ugali na mavi
Na CDM walivyo na papara, sitashangaa kweli wakilichukua hili garasa.
Serikali ilikuwa inasubiri KUMFUKUZA Maige kwanza ndo wawafukuze waliohusika na UJANGILI mbugani? Je, Huu ndio utawala bora?29/05/2012 ndugu baloz Hamis Kagasheki ,waziri wa mali asili na utalii amewasimamisha kazi vigogo 4 wa maliasili kwa vifo vya faru2 mwezi wa 4,pamoja na askari wa wanyamapori kibao kwa ujangili! Mh upo apo?
Waliondolewa ni wengi lalini kumbuka kina Mkulo na Omari Nundu wale ni wastaafu wakati Maige ana zaidi ya miaka 20 afike umri wa kustaafu
Thubutu!!!!!! nani akubali kumpokea mkosaji asiyetubu? Abaki huko huko kwa wenzake. Waache wabanane tu!!!!pole maige, hamia kwenye basi kubwa cdm
pumbavu hilo na midomo mbinuko yake kama K,yaani lenyewe lilifikiri litakuwa hapo siku zote.tataizo hakubaliani na hari ya mabadilikoWakati anapewa uwaziri akakenea mene 32 nje hakujua chama kinakufa shwain
Sizitaki mbichi hizi
Maige anaonekana kuumizwa sana na kunyang'anywa Uwaziri.
Mimi nampa ushauri wa bure. Kwamba kama ana uhakika kuwa YUKO CLEAN ila tu wenzake ndani ya Chama chao cha Magamba-CCM wamemfanyia fitna,hujuma na majungu basi RUKSA KUHAMIA CHADEMA. Namwomba aingie kwenye mdundo wa CHADEMA wa VUA GAMBA,VAA GWANDA.
CHADEMA tutakuwa tumejihakikishia jimbo la Msalala kulichukua mwaka 2015. Lakini tutamkaribisha kwa tahadhari kubwa. Kama akileta porojo za Vuvuzela Shibuda tutamtimua. CHADEMA siyo kichaka cha MAFISADI.
Naamini hata uongozi wa juu wa CHADEMA hautasita kumkaribisha.
TULIHO BABA NG'WANA MAIGE!