Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Hivi hawa wote ni kabila moja? Maige, Shibuda, Mpendazoe. Walilazimishwa kuingia kwenye siasa nini? Yaani kunyang'anywa uwaziri imekuwa tabu. Auze ile nyumba ya mil.700 akaanzishe chama , mbona hiyo pesa inatosha kufanyakazi hiyo.Mzee wagobe upooo au mkuki kwa nguruwe mtam kwa binadam mchungu?.