Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Nape anachoamini ni kingine anachoandika jf ni kingine
Hiyo nayo ni namna ya kumfikishia ujumbe Maige.Bwana Nnauye kwa nini unamuogopa Maige kwa kuandika kwenye JF tu? Muambie yeye au umwajibishe kwenye vikao vya MAGAMBA.
songa mbele mkuu, magamba mengine yakishindwa kutoka njoo CDM uvae gwanda ili tuyashikishe adabu, usikatishwe tamaa na baadhi ya magamba mkuu.
Mpiganaji naona kama vile NAPE anamjibu Slaa. Siamini kama ni CCM wanapeana hayo majibu. Utadhani wajenzi wa mnara wa babeli. Sisi tuendelea kula mvinyo mwisho wao mwanzo wetu u-karibu.Hakika sasa naweza kuamini CCM imevunjika vipande vipande. Hii ni hatari kwa chama kinachotawala.
Hana lolote maige,faru wa jk toka south africa wameuliwa mikononi mwake alichukua hatua gani?nape watume tra wamchunguze na vilori 2 eti usd 20000 Kwa mwezi
Acha kupandikiza ukabila wewe utakuwa huna tofauti na kikundi cha Uamusho.sukuma culture...?
Maige kachanganyikiwa baada ya kupigwa chini.
Acha kupandikiza ukabila wewe utakuwa huna tofauti na kikundi cha uamusho Uamusho.
- Kamanda somo limeeleweka hili, kwamba ni mti wenye matunda swafi ndio unaorushiwa sana mawe!
- SALUTE!
William.
Mpambeni kwa sasa lakini msimsahau siku akija kuwa peke yake kama Mangula alivyosahaulika.songa mbele mkuu, magamba mengine yakishindwa kutoka njoo CDM uvae gwanda ili tuyashikishe adabu, usikatishwe tamaa na baadhi ya magamba mkuu.
Mkuu ritz unafanya mchezo na V8 VX hata ukiingia kwenye shimo husikii! Unaangalia tu TV ama DVD wakati dereva anahangaika! Unacheza wewe na kuingia kwenye hotel zote za kitalii na kutanua bila malipo yoyote! Umewahi kula nyama ya Pofu wewe? Wenzio wakienda mbugani WANACHINJIWA pofu! Umewahi kula nyama ya ndege aitwaye Kori Bastard wewe? Wenzio wakienda huko kwenye mbuga zetu huchinjiwa huyu ndege ambaye ni mtamu kweli kweli. Eti yooote hayo unapokonywa kwa tamko moja tu basi. Hata ningekuwa mimi ningepiga mayowe.