Mkuu maneno yako yamejaa busara.
Nape nimekushauri mara nyingi kuwa UNAPOONGEA USIMALIZE UBAKISHE MENGINE na USITUKANE MAMBA KABLA HUJAVUKA MTO. muda Si MREFU utafukuzwa ccm kama Jambazi sugu, Hio ndo ccm ambayo kila mtu kafunzwa kuchafua wengine ili apate madaraka, kama ulivyopata Madaraka kwa kuwachafua watu na wewe utatoka kwa kuchafuliwa 2