mkazamjomba
Member
- Jan 27, 2012
- 61
- 21
jamani ndugu zangu mie ni mgeni humu lakini ningependa tubadilishane mawazo naitwa mkazamjomba busara ingetumika kuliko mzaha naomba mnikaribishe nijue tunabadilishana vipi mawazo najua mna mengi na mie nina mengi nipeni utaratibu wa kuwa member mwenzenu