OTIS
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,251
- 827
Mi hata sijui wananichukuliaje!!
My dia,kumbuka ile ya tenda uende zako usingoje shukran,Usichague wala kubagua coz atakayekuzika humjui,
Usitegemee ni wote unaowatendea wema ndio wataijua shida yako,
Wapo wale ambao wanakuangalia tu ww unavyojitoa kwa wengine na wanakuwa wanaaprisiet unachokifanya kwa wengine,
Then from no where unapata shida au tatizo unashangaa mtu hata huna ukaribu naye ndio anajumuika na ww kwenye tatizo lako,
Usikatishwe tamaa na walimwengu kuwa mwema tu ipo siku mungu atakulipia kwa namna yake.
Unadhani hao watu wakiulizwa kuhusu wewe wengi wao watajibu kwamba wewe ni mtu mzuri/mstaarabu au kinyume cha hapo?
Kama leo hii mtu angekurecord kwa siri wakaonyeshwa watu wasiokufahamu, unadhani wangesema nini kuhusu wewe?
Binafsi hua najitahidi kwa kiasi changu, hata kumshikia mtu aliyepo nyuma yangu mlango, kumuokotea kitu au kumwambia samahani nikimgonga. Na bahati nzuri na mie hua nafanyiwa, wiki hii tu nimedondosha vitu mara mbili nikaokotewa, kuna siku nilisahau kadi yangu ya benki dukani mtu akanikimbizia. . . vitu kama hivi hua vinanifanya nitabasamu hata kama sikua kwenye mood nzuri. Au rafiki anaekumbuka kukujulia hali siku ya pili baada ya kumwambia unaumwa, mtu anaekumbuka na kukumbusha mambo yako ya maana na vitu kama hivyo. It just makes me happy to know there are really nice, caring and decent people out there. I hope YOU are one of them.
We nakuona kama mshari flani hivi! Hahahah lakini hii ni through the keyboard bana, sijajua uhalisia wako!!!
dah!..umejuaje? nikweli kabisa mkuu. mimi unanikanyaga bahati mbaya nakulipua makusudi. Mia
....kwa maisha ya sasa hii inategemea una 'ndururu' kiasi gani mfukoni...jishindie tuzo kama hii;
...uone utavyogombewa kama mpira wa kona.
...hata aliyesoma nawe shule ya vidudu atakukumbuka...
hahahah dah.....we ni noma aisee!! Halafu unaonekana hata siri huwezi kutunza wewe, lazima utalopoka tu!!
....kwa maisha ya sasa hii inategemea una 'ndururu' kiasi gani mfukoni...;
...uone utavyogombewa kama mpira wa kona.
...hata aliyesoma nawe shule ya vidudu atakukumbuka...
hahahaaaa....!!. Mkuu wewe ni noumer. kuhusu siri inategemeana ni siri gani. siri ambazo najua hazimdhuru mtu au kumletea matatizo nasema tu. kwa mfano mtu anakwambia oya nshatembea na huyu demu lakini usimwambie mtu halafu nikaona mshikaji wangu anamfukuzia akiniuliza lazima nimwambie huyu demu katembea na fulani. Mia
Umedekezwa sanaaaa.....!!
Kakondoo wewe na Mia mbona mnasogeleana sana? Embu rudi pembeni kidogo. . . au nikae katikati?
Yeaah. . Maana naona karibu mikono.itakua inagusana.
Yeaah. . Maana naona karibu mikono.itakua inagusana.
We unadhani vizuri? Mia ni mwanaume sio mvulana.Lolz