Hi...,
jamani kwa wale ambao hua wanafanya kazi chini ya usimamizi au menejment, hivi mahusiano yenu na mabosi wenu yapoje??
Kwa mimi nina bahati mabaya kidogo.kwanza wa kwangu ni she.
-hajui kumspare mtu.atakuponda vyovyote mbele ya yeyoye.
-never hua haapriciate kazi hata ungetumia efforts kiasi gani
-Me na doubt iwezo wake kikazi kwani mostly huponda kazi zangu lakini finaly ndizo ambazo huzi submit management kuu kama zilivyo au kwa editing ndogo sana kwa ajili ya approval.
-ana disapoint badala y ku courage..
-kwa ujumla ni mlalamikaji mno.
anyway hata hivyo kisaikolojia me niko poatu.si doubt sanauwezo wangu kikazi ingawa najua kibinadan kuna wakati naweza kosea. na pia once malengo zangu hapa zikitimia i will get off.
jamani kwa wale ambao hua wanafanya kazi chini ya usimamizi au menejment, hivi mahusiano yenu na mabosi wenu yapoje??
Kwa mimi nina bahati mabaya kidogo.kwanza wa kwangu ni she.
-hajui kumspare mtu.atakuponda vyovyote mbele ya yeyoye.
-never hua haapriciate kazi hata ungetumia efforts kiasi gani
-Me na doubt iwezo wake kikazi kwani mostly huponda kazi zangu lakini finaly ndizo ambazo huzi submit management kuu kama zilivyo au kwa editing ndogo sana kwa ajili ya approval.
-ana disapoint badala y ku courage..
-kwa ujumla ni mlalamikaji mno.
anyway hata hivyo kisaikolojia me niko poatu.si doubt sanauwezo wangu kikazi ingawa najua kibinadan kuna wakati naweza kosea. na pia once malengo zangu hapa zikitimia i will get off.