Mahusiano na afya yako 2011

Unapewa ushauri nasaha kabla ya kutoa?
Maana hawawezi kukwambia damu yako si safi kama hujapenda wewe mwenyewe!
Unapewa ushauri kabla ya kupima na baada damu yako ikiwa ni nzuri wanachukua contact zako siku wakiwa na zoezi tena kama hilo unapigiwa simu
na pia unafahamishwa aina ya matunda ya kula ili kuongeza damu mwili huwa kuna kitu kinaitwa Rosella zinasaidia sana kuongeza damu mwilini unachemsha ikiishapoa unaichuja unaiweka kwenye friji unakuwa unakunywa kama juisi.
 
Unapewa ushauri kabla ya kupima na baada damu yako ikiwa ni nzuri wanachukua contact zako siku wakiwa na zoezi tena kama hilo unapigiwa simu
na pia unafahamishwa aina ya matunda ya kula ili kuongeza damu mwili huwa kuna kitu kinaitwa Rosella zinasaidia sana kuongeza damu mwilini unachemsha ikiishapoa unaichuja unaiweka kwenye friji unakuwa unakunywa kama juisi.
Haya Kiongozi nimekupata!
Hebu wape Elimu wale wanaogopa kupima
 
Khaaa! Yaani unauliza David Camerron Uingereza.
Wanacho ogopa nini?
Ukimwi wa siku hizi sio kama ule wa miaka ya semanini, ukimaliza three month we kidume!
Siku hizi unakaa nao mpaka 20 years, sasa sijui kinacho waogopesha nini?
maana kuna wazima hata hiyo miaka 20 hawafikishi wanakuacha
 
Asante kwa ushauri mzuri,
Nimeshatoa damu mara mbili,na kupima mara mbili,
Na kesho naenda kupima kwa mara ya tatu kwa mwaka huu,
Najua watu wengi wanaogopa kupima,lkn sure ama telling u ukimipa na kujua afya yako kuna raha ya pekee,
Unakuwa full confidence hata inapotokea wakati wa kufanya maauzi ktk mahusiano yani unakuwa na msimamo coz unajijua!!!

Wow,inapendeza sana.
Kwa kweli unakua na confidence ukijua afya yako na hata
maamuzi ya mapenzi yanakuwa rahisi kwako tofauti na yule
anae amua tu kwa kuwaza "labda huyu yuko safi,after all sijui kama ninao au sina"
na anajikuta ana ingia kwenye ngono zembe na mwishowe................
 
Unapewa ushauri nasaha kabla ya kutoa?
Maana hawawezi kukwambia damu yako si safi kama hujapenda wewe mwenyewe!

Unapo kwenda kuchukua majibu baada ya kutoa damu mara nyingi unaulizwa kama
uko tayari kupokea majibu yako na ushauri kadha wa kadha pale,....
ni kama umeenda kupima angaza then unapewa ushauri......ila sio lazima uchukue majibu kama
unadhani huwezi ku-stomach majibu ya vipimo vyako.

Ukiona huwezi chukua majibu we toa damu then sepa zako,kama ni chafu wataitupa mbali na
hakuna atakae kwambia after all hawakujui,....

Ila tofauti na kujua hali yako,utajua pia kama una maambukizi ya magonjwa mengine kama
vile kisonono,kaswende,kisukari nk.

So,kutoa damu ni zaidi ya kutoa damu tu,unapata faida nyingi wewe binafsi,.....kujua hali yako na pia
kuruhusu mwili wako ku-generate damu safi zaidi.
 
Unapewa ushauri kabla ya kupima na baada damu yako ikiwa ni nzuri wanachukua contact zako siku wakiwa na zoezi tena kama hilo unapigiwa simu
na pia unafahamishwa aina ya matunda ya kula ili kuongeza damu mwili huwa kuna kitu kinaitwa Rosella zinasaidia sana kuongeza damu mwilini unachemsha ikiishapoa unaichuja unaiweka kwenye friji unakuwa unakunywa kama juisi.

Naipenda rozela aisee,...
Huwezi kuikosa kwenye kafriji kangu kila week ingawa kuna watu
wame ipa perception kwamba ukinywa rozela una upungufu wa kinga,...

Rozela sio kwa wagonjwa tu,hata kwa wenye afya wanajenga afya zao zaidi
 
Wanacho ogopa nini?
Ukimwi wa siku hizi sio kama ule wa miaka ya semanini, ukimaliza three month we kidume!
Siku hizi unakaa nao mpaka 20 years, sasa sijui kinacho waogopesha nini?
maana kuna wazima hata hiyo miaka 20 hawafikishi wanakuacha

Hahahah,una maanisha kuna ukimwi wa kisasa saivi?
Ni balaa,but hao wanaoishi miaka 20 wanakua hawana ukimwi,wana virusi vya ukimwi.
Ikisha ingia kwenye ukimwi kurudi nyuma ni kazi sana,so bora kupima mapema.
 
Thanks mkuu kwa kutukumbusha...Rafiki yangu juzi kaniuliza eti nikienda kufunga ndoa kanisani wanauliza mambo ya kupima?wengi wao ni waoga hasa wanaume hubby nikimwambia ni mbishi ka nini kisa m nimepima anachukulia na yy majibu ni kama yangu.Kutoa damu ni zoezi ambalo halijazoeleka sana ntajitahid kulizoea kama wadau wenzangu.
 
Thanks mkuu kwa kutukumbusha...Rafiki yangu juzi kaniuliza eti nikienda kufunga ndoa kanisani wanauliza mambo ya kupima?wengi wao ni waoga hasa wanaume hubby nikimwambia ni mbishi ka nini kisa m nimepima anachukulia na yy majibu ni kama yangu.Kutoa damu ni zoezi ambalo halijazoeleka sana ntajitahid kulizoea kama wadau wenzangu.

Mmmmh,yawezekana sio wako peke yako.
Maana angekua mwaminifu kwako basi angafurahi hauna na angekua na confidence
kwenda kupima pia,ila kama anaogopa,yawezekana ana m-dauti nyumba ndogo asije kua kamnasisha jana
 
Mmmmh,yawezekana sio wako peke yako.
Maana angekua mwaminifu kwako basi angafurahi hauna na angekua na confidence
kwenda kupima pia,ila kama anaogopa,yawezekana ana m-dauti nyumba ndogo asije kua kamnasisha jana
It can be maana wanaume wa humu jf wantisha ni kama sumu mwanaume kuwa na mwanamke mmoja?ila najua siwezi mchunga yuko mtetezi aliye hai huwa namuachia na kumuomba ulinzi kwa vyote vinavyonihusu,na im sure hata akiupata hautaniingia hata kwa lazima labda Yesu akiwa amelala which i know halalagi...
 
I had a nice experience jana kutoa damu,am healthy and i thank God for it.
 
Back
Top Bottom