MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #81
Umemaliza shemeji. Nimesalute.Nyamayao:
Tunawaonea huruma na tunawapenda sana kwa dhati!
Tatizo ni maisha tunayoishi - kuna jamii inatakiwa ifanye kazi kwa niaba ya jamii nyingine pamoja na kwamba wote ni binadamu kamili!
Hivi ulishawahi kujiuliza kwanini wewe na Mr wako mnaamka asubuhi na kwenda kazini kila siku? Je maisha yatakuwaje kama mmoja wenu ataacha kazi na kubakia nyumbani kwa ajili ya "shughuli" za nyumbani?
Ndoa nyingi zinazodumu ni zile ambazo Mwanamke ni "self-employeed" au "house-wife"! Na after-all ndizo zipo "successful" lifewise.
Otherwise hizi ndoa za "working-class" :Mwanaume ameajiriwa na Mwanamke ameajiriwa - zinajaribiwa sana na Shetani!
Imagine how much savings mnaweza kufanya kwa:
- Kutumia gari moja tu kila siku?
- Kuacha kupitia Steers/Triple M/Baa Mpya/ Nguruko kula michemsho na Mi-bia after working hours?
- Kuwaandalia watoto chakula kizuri na kuepukana na ufujaji wa chakula wa HouseMaids?
- Kuhakikisha matumizi sahihi ya (Gas/Mkaa/Umeme/Kuni na Maji) : Do you know why Utility Bills are on the rise?
E.t.c
Tunapoteza Money and Life kwa kukosa uangalizi sahihi wa nyumba zetu and on top of that tunatia chumvi kwenye kidonda kwa kuwa na either "small house" or "kidumu":A S angry:
Hivi hebu siku moja jaribuni kukaa chini mpige hayo mahesabu pamoja na loss itakayopatikana iwapo mama ataamua kuacha kazi ya kuajiriwa awe mama wa nyumbani!