The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Hahahaha hakuna lolote si kunukishwa wala kulambishwa....kajichetua mwenyewe tu.
HA HA HA HA nyumba ndogo bwana zikikukamata dah sijui uwa wanakuwa na nini wale
Hahahaha hakuna lolote si kunukishwa wala kulambishwa....kajichetua mwenyewe tu.
ehh! eti nyie wanaume kwann msihamie huko huko kikaeleweka umemchoka mkeo?
Sijui nichangie? sijui umri wangu hauniruhusu?
ehh! eti nyie wanaume kwann msihamie huko huko kikaeleweka umemchoka mkeo?
Nyamayao bana:
Utaanza nae kivipi?
Unajua wanaume wengi wanapokuwa na "small house(s)" huwa wanajaribu kila "ufundi" unaowezekana! Hata kuwakandya wakazao, e.t.c ili mradi tu "small house" naye in return aonyeshe "maufundi" yake yote.
"Small house" zilizostaharabika haiwezi kamwe kutaka "kuharibu ndoa" ya mwenye nayo - Kwa sababu as soon as mambo yanaharibika nyumbani then kwa staili ile ile "small house" inapigwa chini!
Acha mpenzi ....mwenyewe anasema anamuomba huyo bi mdogo amuachie mume wake la sivyo atakapomkamata atamfanya kitu asichoweza kuamini na hata kama kitapelekea kuachwa na mumewe hatojali.Sasa watu wakawa wanamwuliza kwa nini unajipa presha wakati kama mume kakutelekeza (kwa maana ya kuwa hamjali kuamka wala kulala yake ingawa yupo nyumbani) kwa miaka sita na bado umemudu maisha ya nini kujipa presha? unajua kajibuje...............nampenda mume wangu!!mhh kwa kweli hapana, tunauwana taratibu aise, mara unashangaa unapata pressure, mara cjui kisukari mara cjui kitu gani kwa kumfikiria mwanaume wa hivi, MJ1 wacha tu, maisha haya bac tu, mtu kama ameamua kufanya bac na afanye lakini akupe heshima yako jamani, kwanini maisha yapo hivi? sasa huyo mwanamama kaamua vipi? kwamba atakomaa na ndoa au kaamuaje?.....mambo mengine ni kuharibu kabisa kila mtu ashike ustaarabu wake.
Kuna sehemu lazima something is wrong
sasa mbona huyu mbaba mwenzenu kalifumbia jicho hili jambo, kafumwa bado anaendelea...mhh..Baba E, mie mwanamke hawara akinitumia msg kunijulisha kama yupo na mr kwa kweli kutachimbika, atapatikanika tu kwenye anga zangu hata awe anaishi rombo mpakani.
Acha mpenzi ....mwenyewe anasema anamuomba huyo bi mdogo amuachie mume wake la sivyo atakapomkamata atamfanya kitu asichoweza kuamini na hata kama kitapelekea kuachwa na mumewe hatojali.Sasa watu wakawa wanamwuliza kwa nini unajipa presha wakati kama mume kakutelekeza (kwa maana ya kuwa hamjali kuamka wala kulala yake ingawa yupo nyumbani) kwa miaka sita na bado umemudu maisha ya nini kujipa presha? unajua kajibuje...............nampenda mume wangu!![/QUOTE]
'
MJ1 unajua uache masihara, mbona unaniharibia cku yangu? wenyewe ilishaharibika wewe unaizidisha badala ya kuishusha kidogo,..miaka 6 c mke huyu tayari, kweli aendelee tu kumpenda na abarikiwe na hilo pendo.
Nyamayao bana:
Utaanza nae kivipi?
Unajua wanaume wengi wanapokuwa na "small house(s)" huwa wanajaribu kila "ufundi" unaowezekana! Hata kuwakandya wakazao, e.t.c ili mradi tu "small house" naye in return aonyeshe "maufundi" yake yote.
"Small house" zilizostaharabika haiwezi kamwe kutaka "kuharibu ndoa" ya mwenye nayo - Kwa sababu as soon as mambo yanaharibika nyumbani then kwa staili ile ile "small house" inapigwa chini!
Nyamayao bana:
Utaanza nae kivipi?
Unajua wanaume wengi wanapokuwa na "small house(s)" huwa wanajaribu kila "ufundi" unaowezekana! Hata kuwakandya wakazao, e.t.c ili mradi tu "small house" naye in return aonyeshe "maufundi" yake yote.
"Small house" zilizostaharabika haiwezi kamwe kutaka "kuharibu ndoa" ya mwenye nayo - Kwa sababu as soon as mambo yanaharibika nyumbani then kwa staili ile ile "small house" inapigwa chini!
Hapo sasa ndo mnapochetuka ati...unapokandya kwa mkeo nyumba ndogo inavidaka aohhh kumbe mkeo anakupangia ratiba .basi mie utapata kuanzia tarehe 1 hadi 1 ya mwezi... kama mkeo hafui kufuli zako anakuachia ufue mwenyewe basi nyumba ndogo anazivaa kabisa mwashare...mara oh mke wangu mie bwana tukimaliza anakimbilia kuoga yeye......basi small house atakuwekea thermos uchagoni usipate shida ya kwenda hadi bafuni.... sasa hayo yote ndo unaona ah mwanamke si huyu kumbe ndo umempa majibu mwenyewe.HA HA HA HA nyumba ndogo bwana zikikukamata dah sijui uwa wanakuwa na nini wale
Acha mpenzi ....mwenyewe anasema anamuomba huyo bi mdogo amuachie mume wake la sivyo atakapomkamata atamfanya kitu asichoweza kuamini na hata kama kitapelekea kuachwa na mumewe hatojali.Sasa watu wakawa wanamwuliza kwa nini unajipa presha wakati kama mume kakutelekeza (kwa maana ya kuwa hamjali kuamka wala kulala yake ingawa yupo nyumbani) kwa miaka sita na bado umemudu maisha ya nini kujipa presha? unajua kajibuje...............nampenda mume wangu!!
nyamao unasema tu kutachimbika wapi unafikiri mambo yote yanahitaji ubabe inaweza ikawa ubabe wako ndo ulimkimbiza hlafu mi naamini kudili na nyumba ndogo sio suluhisho utapoteza muda wako maana mara nyingi hawa wapo kimaslahi zaidi hangaika na mmeo
Umemsemea Babu Asprin maneno yake yote.
Ntakuzawadia JOSEFINA wa Baa Mpya.
Hapo sasa ndo mnapochetuka ati...unapokandya kwa mkeo nyumba ndogo inavidaka aohhh kumbe mkeo anakupangia ratiba .basi mie utapata kuanzia tarehe 1 hadi 1 ya mwezi... kama mkeo hafui kufuli zako anakuachia ufue mwenyewe basi nyumba ndogo anazivaa kabisa mwashare...mara oh mke wangu mie bwana tukimaliza anakimbilia kuoga yeye......basi small house atakuwekea thermos uchagoni usipate shida ya kwenda hadi bafuni.... sasa hayo yote ndo unaona ah mwanamke si huyu kumbe ndo umempa majibu mwenyewe.
Acha mpenzi ....mwenyewe anasema anamuomba huyo bi mdogo amuachie mume wake la sivyo atakapomkamata atamfanya kitu asichoweza kuamini na hata kama kitapelekea kuachwa na mumewe hatojali.Sasa watu wakawa wanamwuliza kwa nini unajipa presha wakati kama mume kakutelekeza (kwa maana ya kuwa hamjali kuamka wala kulala yake ingawa yupo nyumbani) kwa miaka sita na bado umemudu maisha ya nini kujipa presha? unajua kajibuje...............nampenda mume wangu!!
nyamayao wewe hujashangaa...ila sijui hawa ndo wale wanaitwa wake toka kwa bwana....mwenyewe anampenda mumewe.Acha mpenzi ....mwenyewe anasema anamuomba huyo bi mdogo amuachie mume wake la sivyo atakapomkamata atamfanya kitu asichoweza kuamini na hata kama kitapelekea kuachwa na mumewe hatojali.Sasa watu wakawa wanamwuliza kwa nini unajipa presha wakati kama mume kakutelekeza (kwa maana ya kuwa hamjali kuamka wala kulala yake ingawa yupo nyumbani) kwa miaka sita na bado umemudu maisha ya nini kujipa presha? unajua kajibuje...............nampenda mume wangu!![/QUOTE]
'
MJ1 unajua uache masihara, mbona unaniharibia cku yangu? wenyewe ilishaharibika wewe unaizidisha badala ya kuishusha kidogo,..miaka 6 c mke huyu tayari, kweli aendelee tu kumpenda na abarikiwe na hilo pendo.
ehh! eti nyie wanaume kwann msihamie huko huko kikaeleweka umemchoka mkeo?
Hapo sasa ndo mnapochetuka ati...unapokandya kwa mkeo nyumba ndogo inavidaka aohhh kumbe mkeo anakupangia ratiba .basi mie utapata kuanzia tarehe 1 hadi 1 ya mwezi... kama mkeo hafui kufuli zako anakuachia ufue mwenyewe basi nyumba ndogo anazivaa kabisa mwashare...mara oh mke wangu mie bwana tukimaliza anakimbilia kuoga yeye......basi small house atakuwekea thermos uchagoni usipate shida ya kwenda hadi bafuni.... sasa hayo yote ndo unaona ah mwanamke si huyu kumbe ndo umempa majibu mwenyewe.