Mahusiano ah.............

ehh! eti nyie wanaume kwann msihamie huko huko kikaeleweka umemchoka mkeo?

yaani mwanaume kageuka keyholder, jamani, kama haya ammbo mtu hujayapitia utaona kama filamu za kihindi, ngoja likukumbe.
 
Nyamayao bana:

Utaanza nae kivipi?

Unajua wanaume wengi wanapokuwa na "small house(s)" huwa wanajaribu kila "ufundi" unaowezekana! Hata kuwakandya wakazao, e.t.c ili mradi tu "small house" naye in return aonyeshe "maufundi" yake yote.

"Small house" zilizostaharabika haiwezi kamwe kutaka "kuharibu ndoa" ya mwenye nayo - Kwa sababu as soon as mambo yanaharibika nyumbani then kwa staili ile ile "small house" inapigwa chini!

sasa mbona huyu mbaba mwenzenu kalifumbia jicho hili jambo, kafumwa bado anaendelea...mhh..Baba E, mie mwanamke hawara akinitumia msg kunijulisha kama yupo na mr kwa kweli kutachimbika, atapatikanika tu kwenye anga zangu hata awe anaishi rombo mpakani.
 
mhh kwa kweli hapana, tunauwana taratibu aise, mara unashangaa unapata pressure, mara cjui kisukari mara cjui kitu gani kwa kumfikiria mwanaume wa hivi, MJ1 wacha tu, maisha haya bac tu, mtu kama ameamua kufanya bac na afanye lakini akupe heshima yako jamani, kwanini maisha yapo hivi? sasa huyo mwanamama kaamua vipi? kwamba atakomaa na ndoa au kaamuaje?.....mambo mengine ni kuharibu kabisa kila mtu ashike ustaarabu wake.
Acha mpenzi ....mwenyewe anasema anamuomba huyo bi mdogo amuachie mume wake la sivyo atakapomkamata atamfanya kitu asichoweza kuamini na hata kama kitapelekea kuachwa na mumewe hatojali.Sasa watu wakawa wanamwuliza kwa nini unajipa presha wakati kama mume kakutelekeza (kwa maana ya kuwa hamjali kuamka wala kulala yake ingawa yupo nyumbani) kwa miaka sita na bado umemudu maisha ya nini kujipa presha? unajua kajibuje...............nampenda mume wangu!!
 
nyamao unasema tu kutachimbika wapi unafikiri mambo yote yanahitaji ubabe inaweza ikawa ubabe wako ndo ulimkimbiza hlafu mi naamini kudili na nyumba ndogo sio suluhisho utapoteza muda wako maana mara nyingi hawa wapo kimaslahi zaidi hangaika na mmeo
sasa mbona huyu mbaba mwenzenu kalifumbia jicho hili jambo, kafumwa bado anaendelea...mhh..Baba E, mie mwanamke hawara akinitumia msg kunijulisha kama yupo na mr kwa kweli kutachimbika, atapatikanika tu kwenye anga zangu hata awe anaishi rombo mpakani.
 
Acha mpenzi ....mwenyewe anasema anamuomba huyo bi mdogo amuachie mume wake la sivyo atakapomkamata atamfanya kitu asichoweza kuamini na hata kama kitapelekea kuachwa na mumewe hatojali.Sasa watu wakawa wanamwuliza kwa nini unajipa presha wakati kama mume kakutelekeza (kwa maana ya kuwa hamjali kuamka wala kulala yake ingawa yupo nyumbani) kwa miaka sita na bado umemudu maisha ya nini kujipa presha? unajua kajibuje...............nampenda mume wangu!![/QUOTE]
'
MJ1 unajua uache masihara, mbona unaniharibia cku yangu? wenyewe ilishaharibika wewe unaizidisha badala ya kuishusha kidogo,..miaka 6 c mke huyu tayari, kweli aendelee tu kumpenda na abarikiwe na hilo pendo.
 
Nyamayao bana:

Utaanza nae kivipi?

Unajua wanaume wengi wanapokuwa na "small house(s)" huwa wanajaribu kila "ufundi" unaowezekana! Hata kuwakandya wakazao, e.t.c ili mradi tu "small house" naye in return aonyeshe "maufundi" yake yote.

"Small house" zilizostaharabika haiwezi kamwe kutaka "kuharibu ndoa" ya mwenye nayo - Kwa sababu as soon as mambo yanaharibika nyumbani then kwa staili ile ile "small house" inapigwa chini!

Umemsemea Babu Asprin maneno yake yote.

Ntakuzawadia JOSEFINA wa Baa Mpya.
 
Nyamayao bana:

Utaanza nae kivipi?

Unajua wanaume wengi wanapokuwa na "small house(s)" huwa wanajaribu kila "ufundi" unaowezekana! Hata kuwakandya wakazao, e.t.c ili mradi tu "small house" naye in return aonyeshe "maufundi" yake yote.

"Small house" zilizostaharabika haiwezi kamwe kutaka "kuharibu ndoa" ya mwenye nayo - Kwa sababu as soon as mambo yanaharibika nyumbani then kwa staili ile ile "small house" inapigwa chini!

HA HA HA HA nyumba ndogo bwana zikikukamata dah sijui uwa wanakuwa na nini wale
Hapo sasa ndo mnapochetuka ati...unapokandya kwa mkeo nyumba ndogo inavidaka aohhh kumbe mkeo anakupangia ratiba .basi mie utapata kuanzia tarehe 1 hadi 1 ya mwezi... kama mkeo hafui kufuli zako anakuachia ufue mwenyewe basi nyumba ndogo anazivaa kabisa mwashare...mara oh mke wangu mie bwana tukimaliza anakimbilia kuoga yeye......basi small house atakuwekea thermos uchagoni usipate shida ya kwenda hadi bafuni.... sasa hayo yote ndo unaona ah mwanamke si huyu kumbe ndo umempa majibu mwenyewe.
 
Acha mpenzi ....mwenyewe anasema anamuomba huyo bi mdogo amuachie mume wake la sivyo atakapomkamata atamfanya kitu asichoweza kuamini na hata kama kitapelekea kuachwa na mumewe hatojali.Sasa watu wakawa wanamwuliza kwa nini unajipa presha wakati kama mume kakutelekeza (kwa maana ya kuwa hamjali kuamka wala kulala yake ingawa yupo nyumbani) kwa miaka sita na bado umemudu maisha ya nini kujipa presha? unajua kajibuje...............nampenda mume wangu!!

Amenifurahisha sana hapo kwamba anampenda ila akimkamata mwizi wake ndio balaa
 
nyamao unasema tu kutachimbika wapi unafikiri mambo yote yanahitaji ubabe inaweza ikawa ubabe wako ndo ulimkimbiza hlafu mi naamini kudili na nyumba ndogo sio suluhisho utapoteza muda wako maana mara nyingi hawa wapo kimaslahi zaidi hangaika na mmeo

pale atakaponikosea heshima kama huyu ni deal nae, ale huko huko na anyamaze sio mpaka anitumie sms nijue, kwa dizain hii nitaanza nae then namalizia na mhucka, ikifikia hapo ni kwamba nipo kwenye stage ya kuharibu so akijickia kukusanya vinguo vyake akaanze lyf jipya itanisaidia zaidi, pale nyumbani ctatoka hata kama akiamua kuishi hapo lakini acje mwezi, tutabanana pale pale mpaka kieleweke, nani akahangaike saa hivi kumimbizana na watoto?
 
Umemsemea Babu Asprin maneno yake yote.

Ntakuzawadia JOSEFINA wa Baa Mpya.

Babu taratibu!

JOSEE mh! acha tu ::: Jana Ndovu na Serengeti ziliisha nadhani kwa sababu ya JOSEE! Kama kuna mashindano ya kunywa vile!
 
Hapo sasa ndo mnapochetuka ati...unapokandya kwa mkeo nyumba ndogo inavidaka aohhh kumbe mkeo anakupangia ratiba .basi mie utapata kuanzia tarehe 1 hadi 1 ya mwezi... kama mkeo hafui kufuli zako anakuachia ufue mwenyewe basi nyumba ndogo anazivaa kabisa mwashare...mara oh mke wangu mie bwana tukimaliza anakimbilia kuoga yeye......basi small house atakuwekea thermos uchagoni usipate shida ya kwenda hadi bafuni.... sasa hayo yote ndo unaona ah mwanamke si huyu kumbe ndo umempa majibu mwenyewe.

HA HA HA HA Risasi zile zile lakini bunduki tofauti
 
hapa ndo huwa nawashangaa watu hivi ukioa au kuolewa basi ndo mwisho wa kupenda tunaamua na kuamini kwamba huyu niliyepata takuwa msaidizi na rafiki na unaamua kufunga milango sasa hapa ndo huwa tunajichanganya ivi huwa tunajiulizaga tulikuwa sahihi kwenye maamuzi yetu na kama tulikosea ni wapi turekebishe kutumia nguvu nyingi/ubabe ndo kutarudisha mapenzi atapigana na wangapi mamamtu akikuchoka haijalishi ni mmeo au mkeo atatoa lolote mdomoni sasa hapo kazi kwako kufanyia kazi kwa busara na kutafuta positive ways za kutibu majeraha yako
Acha mpenzi ....mwenyewe anasema anamuomba huyo bi mdogo amuachie mume wake la sivyo atakapomkamata atamfanya kitu asichoweza kuamini na hata kama kitapelekea kuachwa na mumewe hatojali.Sasa watu wakawa wanamwuliza kwa nini unajipa presha wakati kama mume kakutelekeza (kwa maana ya kuwa hamjali kuamka wala kulala yake ingawa yupo nyumbani) kwa miaka sita na bado umemudu maisha ya nini kujipa presha? unajua kajibuje...............nampenda mume wangu!!
 
Acha mpenzi ....mwenyewe anasema anamuomba huyo bi mdogo amuachie mume wake la sivyo atakapomkamata atamfanya kitu asichoweza kuamini na hata kama kitapelekea kuachwa na mumewe hatojali.Sasa watu wakawa wanamwuliza kwa nini unajipa presha wakati kama mume kakutelekeza (kwa maana ya kuwa hamjali kuamka wala kulala yake ingawa yupo nyumbani) kwa miaka sita na bado umemudu maisha ya nini kujipa presha? unajua kajibuje...............nampenda mume wangu!![/QUOTE]
'
MJ1 unajua uache masihara, mbona unaniharibia cku yangu? wenyewe ilishaharibika wewe unaizidisha badala ya kuishusha kidogo,..miaka 6 c mke huyu tayari, kweli aendelee tu kumpenda na abarikiwe na hilo pendo.
nyamayao wewe hujashangaa...ila sijui hawa ndo wale wanaitwa wake toka kwa bwana....mwenyewe anampenda mumewe.
 
ehh! eti nyie wanaume kwann msihamie huko huko kikaeleweka umemchoka mkeo?

Ndo maana nakwambia hapo juu ukiona mwanaume anamkandia mke wake nyumbani hiyo nigia ya kukupata wewe na kisha akutafune
 
Hapo sasa ndo mnapochetuka ati...unapokandya kwa mkeo nyumba ndogo inavidaka aohhh kumbe mkeo anakupangia ratiba .basi mie utapata kuanzia tarehe 1 hadi 1 ya mwezi... kama mkeo hafui kufuli zako anakuachia ufue mwenyewe basi nyumba ndogo anazivaa kabisa mwashare...mara oh mke wangu mie bwana tukimaliza anakimbilia kuoga yeye......basi small house atakuwekea thermos uchagoni usipate shida ya kwenda hadi bafuni.... sasa hayo yote ndo unaona ah mwanamke si huyu kumbe ndo umempa majibu mwenyewe.

hivi halafu kwannn watoke nje na bado watudhalilishe kwa kutupaka maneno ya ajabu ajabu, ndio mbinu pekee iliyobakia ya kutuchafua ili hao wanawake wachanue vizuri, jamani jamani hapana mambo ni magumu kwemye hii sector.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom