Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,050
Wale ndegu zetu waliosota kipindi kilichopita chha mahujaji leo hii wameendelea kuonja joto ya jiwe na safari hii ni tatizo la ""YEMEN AIR".
habari zilzotofikia zinasema mahujaji wamelala tangu jana huku wakiwa bila blanketi wala shuka za kulalia,,habari kamili mpaka leo hii waheshimiwa bado wanaendelea kulala pale nje uwanja wa ndege wa kimataifa wa nyerere!!!
kumbe swala la mahujaji si mchezo jamani!!!kuwapeleka hawaa ujiandae na kwa sala si pesa pekee .....
kila la kheri wote mfike salama
habari zilzotofikia zinasema mahujaji wamelala tangu jana huku wakiwa bila blanketi wala shuka za kulalia,,habari kamili mpaka leo hii waheshimiwa bado wanaendelea kulala pale nje uwanja wa ndege wa kimataifa wa nyerere!!!
kumbe swala la mahujaji si mchezo jamani!!!kuwapeleka hawaa ujiandae na kwa sala si pesa pekee .....
kila la kheri wote mfike salama