lukule2009
Senior Member
- Sep 23, 2009
- 132
- 11
Yale maswali yaliulizwa kwake personally,
akijibu ki-ujumla how can he be assessed?
mkuu acheni hizo, huu wivu unawasaidia nini? unapindisha maada kwa makusudi kabisa.
I, I, I..unataka amsemee nani sasa!, kamati ya bunge ilipitisha kwa initiative za nani? bunge ni watu, waacha kila mmoja abebe msalaba wake mwenyewe! unataka awafagilie wabunge wengine wa CCM! siasa bwana
too chep for you, huna ground za kusema hivyo
anazungumza kama kiongozi thats all.
LOL!
Bunge ndilo linapitishwa miswada kwa kupiga kura .... ukitumia We unaonyesha umewiva kisiasa na unaelewa umuhimu wa team work ... hiyo ni misingi ya uongozi ..mimi simwonei wivu ... namshauri ... ningemuonea wivu ningemwacha aendelee na I... I... I... Mimi ... mimi ... zake .. halafu aboe watu wanaoelewa team work ni nini... wewe umewahi kusikia spika au Rais anasema mimi nimefanya hivi... ni sisi au chama auu serikali au bunge limefanya hiki na kile..... hata nyumbani kwako usiseme gari langu hasa kama una mwenza sema .. letu sawa kiongozi? Sio mimi ni principles tu ambazo szimekubalika kwa hiyo usije kunishambulia mimi shambulia principles.. asente...