Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
It is clear kwamba JK ametupa uwanja mpana sana wa uhuru, wakati mwingine ukijadili jambo lazima uweke mambo mengine constant au uweke scope, otherwise kila jambo liko linked na kitu kingine...
Zitto nakuelewa unavyosema JK ana political tolerance ya hali ya juu sana, na kama asingekuwa nayo mwaka wa BOT/EPA, RICHMOND etc... Taifa lingewaka motto.
Kasheshe,
kwa mifano ya hayo mawili uliyotoa, je kuwa hivyo ni jambo jema au baya kwa Taifa letu?!