Mahojiano ya Mchungaji Mtikila (Kiingereza)

Mtikila anajua kujenga hoja.
Ana ushawishi,
He a kind of a person you dont want to give an audience.
Especially if you have different idealogies.
kama ndivyo unavyoamini kuwa anajua kujenga hoja na anaweza kushawishi,mbona hajawashawishi watanzania wamchague kuwa rais alipogombea?ukinijibu nitaamini unachosema!!!!!!!!!!
 
Unaamini hayo anayosema? Kaazi kweli kweli. That is why I doubt those that I know they have been trained to work changing faces based on circumstances...they call this act by the name double standards! Wanauma na kupuliza ili matumbo yao yajae

"During the execution of the program there were, there were mistakes. Sometimes a village could be taken to a place with no access of water, you see? Sometimes the… the people who… who performed the task were too brutal. At times it happened. Such things do happen at times."
ROSEMARY NYERERE
DAUGHTER OF JULIUS NYERERE
Source: Heaven on Earth . The Film: Transcript | PBS
 
job ndungai au vyovyote wanvyokuita umevimbiwa unaibu spika unafikiri ur on top of the world,lakini kumbuka baba yako sita alishamtoa nje zito ndio umaarufu ukaongezeka sasa endeleza ubabe wenu wa ccm usiotumia hekima wala busara hata ile sara mnayoanza nayo asubuhi siyo ya kumuomba mungu sababu ccm hamumjui mungu 99%ya wabunge wenu ni washirikini wauwaji wa maalbino wazurumaji wa mli za maskini wezi wa mali ya umma na wanafiki hivyo sala inayokufaa wewe na wenzako wa ccm ni sara ya shetani tu na kumbuka unaibu spika unapita na very soon watakutosa kama sita
 
​sasa unaongea nini zomba unashabikia nini hapa vipi asili yako ni ya msumbiji?
 
Duh! Me nimecheka sana km comedy hivi. Hasa alipoongelea kipindi cha fear and mistrust. Na hiyo tafsiri ya malengo ya villagelisation...mhh!
 
REVOLUTIONS: TANZANIA'S UJAMAA VILLAGES
NARRATOR: Tanzania brought far greater disappointments. It was beginning to seem that Julius Nyerere's version of socialism was not as democratic has his supporters had hoped. In 1965, three years after he was elected President, he amended the country's constitution to ban all political parties but his own. Nyerere was asked whether a one-party system included safeguards against the abuse of power.


JULIUS NYERERE: To some extent there are, there are safeguards. But I have sufficient power under the constitution to be a dictator. This is the dilemma of this movement: sometimes you build the leader to the extent, that, at the end when you think you have become free, the fellow has become so powerful you don't know what to do with him (laughs).
 
Mtikila Kiboko. Hatafuni maneno.

Mkuu M. S., leo unam-support Mtikila kwa sababu kaongea unachotaka kukisikia? Kwa kumkashifu Nyerere ambaye wewe na wana-UAMSHO wenzako mmejipanga kuhakikisha mnamchafua kwa kila hali?

Sitegemei UAMSHO yeyote am-support "Reverend" kwa jinsi yoyote ile zaidi ya UNAFIKI. Kesho Reverend huyo huyo akiongea ukweli kuhusu UAMSHO et. al utakuwa wa kwanza kumkashifu na pengine kumtangazia "fatwa". Fahamu zenu zimejengwa juu ya nguzo kuu ya UNAFIKI.
 
napita tu, ila zamani mwaka1992 a:redface:likuwa anatoa cassete za kuwasema magamba nakumbuka by zat time alikuwa anawaita ccm "chama cha majambazi". hata kabla ya epa na leo ni zaidi ya miaka 20 tangu nisikie hizo cassete lakini naona kama unabii wake umetimia na ujambazi umonekana ktk epa na kagoda na mabwepande. huyu ndo kasisi mtikila
 
Mkuu M. S., leo unam-support Mtikila kwa sababu kaongea unachotaka kukisikia? Kwa kumkashifu Nyerere ambaye wewe na wana-UAMSHO wenzako mmejipanga kuhakikisha mnamchafua kwa kila hali?

Sitegemei UAMSHO yeyote am-support "Reverend" kwa jinsi yoyote ile zaidi ya UNAFIKI. Kesho Reverend huyo huyo akiongea ukweli kuhusu UAMSHO et. al utakuwa wa kwanza kumkashifu na pengine kumtangazia "fatwa". Fahamu zenu zimejengwa juu ya nguzo kuu ya UNAFIKI.

Uamsho umeanzia mbali kumbe:

Was there anything positive about Nyerere?
If there were any I would say. But throughout the forty-one years of his rule, I never saw one. But that was a little masquerading, was a little pretense and pretense can only work before people who would not think and see. He supported me before his death. He said, “We realized we made mistakes.” So, in everything that he did and under the cover of socialism, it failed and he knew it was going to fail. But he would push some time while he achieves his objectives. Then when the world saw the truth he admitted. He said, “It is true, we made mistakes.” I’m always surprised by people who separated him from his admissions. He has admitted and because I’m a preacher of the gospel, we forgave him because he repented.
 
​zomba umeishiwa huna tena la kuongea breaking news mukama akanusha kujiuzulu ukatibu ccm imekaaje hiyo zoba?
 
Mimi huwa namuona kama political opportunist au mission town kwa jinsi anavyoibua hoja na kupewa chochote kitu na kuziua. Bongo yenu ya walaji hata kwa kuwaaminisha. Nani mara hii kasahau Jakaya Kikwete alivyoitwa kipenzi cha watu akageuka adui wao?
 
Namkubali Rev.Mtikila toka wakati wa kanda zake'Saa wa ukombozi ni sasa' no 1-13 tulizokuwa tunanunua pale Mnazi Mmoja.Rev tunahitaji tena kufanyiwa 'brain washing' ili fikra za 'zidumu fikra sahihi za ...(angalia na mimi bado naogopa) kwi..kwi..Nimeona hata opposition ili wapate 'kibali' kwa watu inabidi waseme wao ndo wanafuata 'misingi aliyoacha Mwalimu' (hata kama siyo kweli)! Mnatakiwa mje na msimamo mbadala! MTIKILA NAKUFAGILIA! Keep it up Rev wa ukweli!
 
​zomba umeishiwa huna tena la kuongea breaking news mukama akanusha kujiuzulu ukatibu ccm imekaaje hiyo zoba?

Fungulia nyuzi, hapa kuna habari za Mtikila na anavyomponda... (naogopa hata kutaja jina).
 
Yeye mwenyewe Usalama wa Taifa ulitegemea nini kutoka kwake na jiulize aliweza vipi kupenyeza ktk serikali ya Nyerere alokuwa akiipinga toka Primary school..

Usemalo linawezekana. Inawezekana alikuwa amepewa kazi ya kuwachunguza watu akiwa jela na rumande maana anasema kisha shikwa mara 25.
 
Usemalo linawezekana. Inawezekana alikuwa amepewa kazi ya kuwachunguza watu akiwa jela na rumande maana anasema kisha shikwa mara 25.
Huyu kala kiapo kama cha madaktari na akisema vibaya jua kuna sababu!..hawezi kuvunja mwiko hukumu yake ni kifo.
 
Back
Top Bottom