Mi ni group o- naweza enda toa?
Mimi ni group O, wakatoe Amiri mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, Waziri wa Ulinzi na kujenga taifa, General Davis, Lt. Gen. Shimbo, wanajeshi wote wa nchi hii, mafisadi papa wote na Tume ya Taifa ya Uchaguzi akiwemo na Tendwa ndio wahusika kwenye kutoa damu hiyo lakini mimi sitoi ng'o!!!
mkuu hapa tuache politics nenda hospitali ukashuhudie watu wanavyokufa kwa kukosa damu.
Mimi ni group O, wakatoe Amiri mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, Waziri wa Ulinzi na kujenga taifa, General Davis, Lt. Gen. Shimbo, wanajeshi wote wa nchi hii, mafisadi papa wote na Tume ya Taifa ya Uchaguzi akiwemo na Tendwa ndio wahusika kwenye kutoa damu hiyo lakini mimi sitoi ng'o!!!
Ni mwendawazimu pekee atakayeweka bifu na wanajeshi wooote. Kuwa logical kidogo. KATOE DAMU!