Jaguar
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,438
- 1,026
Teja mmoja alikuwa na tabia ya kuokoteza vishungi vya sigara(i.e vipande vinavyobaki baada ya sigara kutumika).Kwa Kila vishungi sita(6),teja aliunda sigara nzima moja(1).Siku moja teja aliokota vishungi 36,je alivuta sigara ngapi kutokana na idadi ya vishungi 36 alivyokuwa navyo.