Maharusi wa siku hizi!

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
1,684
2,157
Zamani wakati wa harusi, bibi harusi alikuwa hawezi hata kumtizama padri au mchungaji anapofungisha ndoa! Mda mwingi alikuwa kainama kitu kilichotafsiriwa kuwa alikuwa na aibu aibu na heshima kwa mumewe! Siku hizi mambo tofauti kabisa,! Utakuta bibi harusi katoa macho, muda wote anacheka, achilia mbali wengine kuserebuka ukumbuni mpaka jasho kuwatoka! Kifupi, wengi wao wanakuwa hawana utulivu kama tuliozoe kuuona, kinyume chake mwanaume ndo huonyesha utulivu! Jamani, hii husababishwa na nini?? Wadada mnaotarajia kuolewa, jaribuni kutulia siku ya harusi, msituache na mishangao!
 
Acha waselebuke maana ni bahati kubwa kwa dunia ya leo kwa binti kuolewa. Wengi wao wamebaki kuzaa tu.
 
TF hii ni JF zaidi ya uijuavyo
May be kaona harusi moja au mbili na bi harusi walikuwa hivyo kaja na conclusion yake.
 
Nadhani anakuwa na uhakika zaidi as wanakuwa washajuana kitambo tena ukichunguza wengi unakuta ana mimba ya miezi kadhaa.
Iyo inaweza kuwa inachangia pia
 
we umeliona hlo tu mbn hujazungumzia tendo la ndoa zaman ilikuwa n kama taboo linafanyika gizan hata kuona maungo ya mwanaume n mwiko ikiwezekana mwanamke kafumba macho ila siku hizi tatizo wananyonya wanalamba kila vurugu hata uwanjan watu wapo tayar kufanya.
 
Mmmh, hadi mfumo dume utakapokutoka kichwani
Utaendelea kuona hayo hayo mauza uza
 
Kwa mtazamo wangu maharusi wa zamani walikuwa wanainama kwa kuonesha aibu kwa sababu anakuwa hajazoeana na mwanaume anayemuoa. Lakini siku hizi watu wanafunga ndoa wakati tayari wameshaishi pamoja, wameshazaa kwa kifupi wanabariki ndoa maana tayari wameshakuwa mwili mmoja, kwa hiyo bi harusi hawezi kuinama
 
Sasa mtu hata kucheka siku ya harusi yake mnaanzishia thread? Kweli Watanzania mna mambo.
 
Kwa mtazamo wangu maharusi wa zamani walikuwa wanainama kwa kuonesha aibu kwa sababu anakuwa hajazoeana na mwanaume anayemuoa. Lakini siku hizi watu wanafunga ndoa wakati tayari wameshaishi pamoja, wameshazaa kwa kifupi wanabariki ndoa maana tayari wameshakuwa mwili mmoja, kwa hiyo bi harusi hawezi kuinama

Hii nayo ni sababu ya msingi sana.
 
kwa wakristu harusi ni tendo la mara moja maishani kwa nini asifurahie?
kwa nini asimuangalie mchungaji ? kwani anang'ata?
na kuna mengi yanaweza kutokea kipindi cha maandalizi ya harusi, mnaposimama altareni waacheni wajinafasi
 
Zamani walikuwa wanatembea kwa miguu ama kupanda punda, kulikuwa hakuna magari. Wakabadili wakaanza kupanda baiskeli, hamjauliza kwa nini wamekiuka maadili, wakabadili wanapanda magari wamevaa mavazi ya kizazi cha leo. Kila kitu kinabadilika kuendana na wakati, kizazi kijacho kama utakuwa hai, utaona na wao wana staili yao utakayoiita ya ajabu. We zoea staili ya kizazi chako, vizazi vyao waachie wenyewe, Kwishney.
 
Swala si kucheka. Aibu na staha kwa mwanamke ina raha yake. Siku hizi mmetuzoea sana.

Hiyo staha na aibu mnapima kwa kijiko kipi? Cha chakula au cha chai? Alafu aone aibu kwani anakua mtupu? Embu acheni umbea. . .harusi za watu wengine zinawauma kisa? Subirini zenu muwaambie kabisa wake zenu hamna kufanya hili wala lile, sio mnapangia watu wengine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom