Mahari na nafasi yake katika ndoa... Je, utamaduni huu umepitwa na wakati?

Galileo alishindwa kuoza binti zake kwa sababu alikuwa hana mahali za kuwalipia kwa prospective husbands, matokeo yake akawapeleka kwenye Catholic convents wawe nuns.

Unaona upuuzi wa mahari huu? Huko mitaa ya India watu wanafanya kazi for years and years ili ku save pesa za kuoza binti zao.

Huu kwetu nako mitaa mingine kina baba wanaona kulipa mahari ni kama kumnunua mwanamke, anakuwa property, kama mtumwa, asipoteka maji na kupika anadundwa kama mpira.

Hogwash.
 
Zamani ilikuwa heshima kwa wazazi km heshima kwa kumtunza binti ukizingatia walikuwa bado vigori ila siku hizi duh hakuna haja ukizingatia ukienda kwa mkeo inawezekana ukajikuta kweye foleni wee ni wa tisini na tisa!
 
Kwa kweli mahari haina umuhimu wowote.it has to be abolished.

Tatizo linakuja, uta i abolish vipi, utakuja na legislation ya kupiga marufuku mahari?

Vipi traditionalists wakija na kukuambia hii ni mila yetu, na hatuna tatizo nayo, na kama wewe huna uwezo tuache wenye uwezo tulipe mahari?

Mambo mengine haya yataisha yenyewe na socio-economic pressures tu. Kina dada watakapoona kuna artificial barriers za kuolewa ndipo hapo mahari itakapotoka ng'ombe hamsini mpaka kuja kuwa something that is just a token of appreciation.

Binafsi I am not against mahari per se. Kuna member kaja kusema umuhimu wa mahari kama zawadi.Symbolically ni ustaarabu kuonyesha shukurani kwa wazazi, lakini sasa hii shukurani na zawadi mara nyingine inafanywa kama deal na inakuwa kama wazazi wanamuuza binti yao.

Ndiyo maana mimi naona haya mambo mengine tunaweza kuyajadili katika kuelimishana, lakini kusema "abolish" kunazua matatizo makubwa kuliko solutions, especially kwa traditionalists.

Tuziache tu forces za tamaduni na nykati zipambane, anaotaka kulipa mahari sawa, wasiotaka sawa.Tusitake kuanza kuwekeana mipaka kwamba "mahari ni lazima" au "ni lazima kutolipa mahari", tutakuja kukwazana.

In a truly free society, people have the right to make really foolish decisions (really bad tattoos come to mind) as long as thy don't affect others in an unfair manner.Let them make the decision about their lives.
 
Its a culture thing......na sio kama inavyofanywa kwa sasa kuwa ni biashara/mtaji fulani....mahari ni zawadi.....unaweza kutoa mahari hata kokwa ya tende alaaa...
 
Galileo alishindwa kuoza binti zake kwa sababu alikuwa hana mahali za kuwalipia kwa prospective husbands, matokeo yake akawapeleka kwenye Catholic convents wawe nuns.

Unaona upuuzi wa mahari huu? Huko mitaa ya India watu wanafanya kazi for years and years ili ku save pesa za kuoza binti zao.

Huu kwetu nako mitaa mingine kina baba wanaona kulipa mahari ni kama kumnunua mwanamke, anakuwa property, kama mtumwa, asipoteka maji na kupika anadundwa kama mpira.

Hogwash.
Ni kutafsiri vibaya: kusema mahari ni bei ya kumnunua mtu. Si bei! Na ndiyo maana yanaitwa mahari. Ingekuwa bei (gharama) ingekuwa na jina la kibiashara: ingeitwa bei, gharama, nk. Lakini inaitwa mahari. Mahari ni ishara ya nje ya kuonesha kwamba yule aliyetolewa mahari anathaminiwa na mtoaji. Ni alama ya upendo. Acha mtu afanye kazi hata kama ni miaka 20. Ndo mapendo yenyewe hayo!
 
Umuhimu na ulazima wake ni nini?

........Acha ubahili lazima utoe mahari tena ng'ombe 50.
Huu ni utamaduni wa kiafrika, ukitaka kuacha kutoa mahari mkaoe watu wa mataifa mengine sio Africa.
 
Symbolically ni ustaarabu kuonyesha shukurani kwa wazazi, lakini sasa hii shukurani na zawadi mara nyingine inafanywa kama deal na inakuwa kama wazazi wanamuuza binti yao.

Kama symbolically ni kuonesha shukurani kwa wazazi wa mwanamke, wapenda usawa kwa wote watauliza kwa nini washukuriwe wazazi wa mwanamke tu? Wa mwanamme je?
 
........Acha ubahili lazima utoe mahari tena ng'ombe 50.
Huu ni utamaduni wa kiafrika, ukitaka kuacha kutoa mahari mkaoe watu wa mataifa mengine sio Africa.

Mbona nshaongea na mzee wako na tumekubalina ni ndama wawili tu....
 
........Acha ubahili lazima utoe mahari tena ng'ombe 50.
Huu ni utamaduni wa kiafrika, ukitaka kuacha kutoa mahari mkaoe watu wa mataifa mengine sio Africa.

Halafu janaume likikujia na attitude za "mwanamke lazima upike, ufue, uoshe vyombo na kumuogesha mtoto, nimekulipia ng'ombe 50" utamwambia nini?
 
Kama symbolically ni kuonesha shukurani kwa wazazi wa mwanamke, wapenda usawa kwa wote watauliza kwa nini washukuriwe wazazi wa mwanamke tu? Wa mwanamme je?

Good point, ndiyo maana hapa symbolism inabidi iende both sides, exchange of gifts. Relatively inexpensive, but thoughtful gifts.

Society yetu iko so Chauvinistic though, mpaka wanawake wenyewe wana employ Machiavellian reverse Chauvinism hawataki mahari iondolewe, hapendwi mtu-pochi style iliyovishwa gauni la utamaduni, kama anavyotaka kutugirini Pretty hapo juu. Vagina monologue cum pussy power, in the guise of Afriican traditions.Who said traditional African women aren't feminist in their own dilapidated way?

Halafu hapo hapo wanadai usawa wa jinsia, wanataka wanaume waingie jikoni, lakini hawataki familia ya wanawake walipe mahari na wao.

Nachoka.
 
Halafu janaume likikujia na attitude za "mwanamke lazima upike, ufue, uoshe vyombo na kumuogesha mtoto, nimekulipia ng'ombe 50" utamwambia nini?

.......Nimetolewa mahari mie tena alitoa dau kubwa tu, kwa kuwa ni mwanaume muelewa na mahari anafahamu kama ni utamaduni wetu wala hawezi kunijia na attitude ulizosema hapo juu.
 
.......Nimetolewa mahari mie tena alitoa dau kubwa tu, kwa kuwa ni mwanaume muelewa na mahari anafahamu kama ni utamaduni wetu wala hawezi kunijia na attitude ulizosema hapo juu.

That is besides the question,

Swali limekupa situation hiyo, ungefaywa nini? Ungemwambiaje mwanamme huyo?
 
That is besides the question,

Swali limekupa situation hiyo, ungefaywa nini? Ungemwambiaje mwanamme huyo?

.......Ningemwambia kutoa mahari si kigezo cha yeye kunifanya mie mtumwa wa kumfanyia kazi. Kwani mahari nini haswa si pesa tu.....kama vp naweza hata kumrudishia nikiona manyanyaso yanazidi ukiuliza eti kanitolea mahari.
 
.......Ningemwambia kutoa mahari si kigezo cha yeye kunifanya mie mtumwa wa kumfanyia kazi. Kwani mahari nini haswa si pesa tu.....kama vp naweza hata kumrudishia nikiona manyanyaso yanazidi ukiuliza eti kanitolea mahari.

Sasa kama mahari ni pesa huoni kwamba huyo jamaa amekununua?
 
.......Ningemwambia kutoa mahari si kigezo cha yeye kunifanya mie mtumwa wa kumfanyia kazi. Kwani mahari nini haswa si pesa tu.....kama vp naweza hata kumrudishia nikiona manyanyaso yanazidi ukiuliza eti kanitolea mahari.


Kumbe si tu ananunua mwanamke, bali anaweza hata kupata Warranty, dang!
 
Back
Top Bottom