Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Ha Ha Ha! Kwa mpango huu bado nitakuwepo sana tu na kama vp inabidi tu kukamua maziwa toka kwajirani. Kilo sita mbona si kitoto.
Wakuu mwakani ni ndo nilitaka kupeleka mahari sasa kama mambo yatakuwa hv basi nitanyoosha mikono.
Mwambie mweziwako kuhusu cost sharing. Siku hizi mambo si kugawana majukumu? au?