Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Ana hipsi kiasi gani?
Huyu jamaa ana ka-Vitz ka-rangi ya PINK, kwani kanaweza kuwa na thamani gani?
Nikipata thamani yake naweza kufanya MAGAZIJUTO, nipate thamani ya MRABAHA wangu
Kuna dalili zote za kumwozesha mmoja kati ya wanangu humu JF.
Hivi hapa nafanya tathmini.
kama anakavitz sio mbaya akitoa 500,000.00 itamtosha sana na kuku mweusi wa kienyeji..
Nina laki 2 na nusu!Akiwa na wowowo,naongeza elfu 50!Akiwa na mwanya pamoja na MEWATA saa 6 natoa laki 4!
Mpendwa! Hiyo haiombewi heri ndicho kiasi kinachotakiwa kutolewa.Mahari iko negotiable KAMA sijakosea...maana hii ilimtokea mshkaji ila aliishia kutoa posa na kusepa tu....
..mkaja ni nini kwanza
Mpendwa! nakushukuru kwa ushauri wako mzuri ila yote hayo tuliyafanya bila mafanikio.Mjomba poleni, lakini tukumbuke kuwa mila na desturi za kiafrika unapotaka kuoa lazima upangiwe mahari. Kulipa mahari ni kiashiria kwamba umejali mchango mkubwa wa wazazi kumlea binti ukamkuta katika umri, afya na tabia ulizoridhika nazo. Hata hivyo sio wote tunaoweza kukabili kiwango cha mahari kinachopangwa na mahari huwa hatuombi punguzo ila tunatoa kiasi tulicho nacho na unaruhusiwa kuendelea na masuala ya ndoa iwe ya kimila au ya kidini.
Hivyo ndugu yangu muambie muoaji ajiandae kwa kiwango alicho nacho, pelekeni na muahidi kumalizia mpatapo, maana hakuna anayemzuia binti yake kwa sababu eti mahari haijakamilika na hakuna anayepelekwa mahakamani eti kwa sababu hamalizii mahari.
Kila la heri
Inahitajika mjadala wa hizi mahari kwa undani zaidi, maana zinaumiza pande zote mbili.kuna jamaa yangu mmoja alinidokeza kuwa akikumbuka mahari aliyotoa kwa mkewe, humrukia kwa hasira kama simba aliyejeruhiwa kum-do kwa sababbu mahari yake inamuuma sana!!!!!!
nafikiri kwa isingizio hiki, wanawake wengi wenye visirani wamebakwa sana na wame zao!!!!!!!!!!!