Kumekuwa na kawaida ya kulipa mahari wakati wa kuoa. Mahari hiyo hulipwa na mwanaume kwa mujibu wa tamaduni za kiafrika.
Ulipaji huu wa mahari hufanya ionekane kuwa mwanamke ananunuliwa.
Sasa si imefika muda ambapo utaratibu huu unafaa uachwe?
Nawasilisha.
Ulipaji huu wa mahari hufanya ionekane kuwa mwanamke ananunuliwa.
Sasa si imefika muda ambapo utaratibu huu unafaa uachwe?
Nawasilisha.