Jamaa aliposa msichana hajawahi kuguswa na mwanamume Akaambiwa mahari milioni 5.
AKASEMA KWA MSHAHANGO>Hee milioni 5?Wakati hapo jirani nimeambiwa laki 2 tu tena MWANAMKE MWENYEWE ANA MIMBA (BUY 1 GET 1 FREE)
Ila mi sishangai sana hapa kwetu tz. wazazi wamekuwa na tabia ya kupiga hesabu ya gharama walizotumia kwa mabinti zao na kufanya zilipwe wakati wa mahali. Nadhani ndo maana hata ukandamizaji kwa wanawake hauishi na mfumo dume ndo unazidi kukua ingawa wanawake wanakimbilia mikutanoni Beijing.
Wazazi wabadilike ili kuimarisha usawa wa kibinadam.
leo mahari hadi M10! utafikiri unamnunua mtu. Ndo maana wanawake wananyanyaswa maana wanaume wanaumia wakiwazia mahari na zawadi wanazotoa kwa wenziwao.hasa ndugu wa mwananmke wanapoendelea kumiminika kwa jamaa ili wasaidiwe wakati jamaa alichajiwa mahali kibao.
rafiki that is true.huko india madhehebu ya kihindu mwanamke anatoa mahari,unachukuliwa mzani mkubwa mwanaume anakaa upande 1 upande wa 2 familia ya kike wana jaza mali
Hii imekuwa kinyume na jamaa aliyekwenda kuchumbua mwanamke aliyeachika , akatajiwa mahari kubwaa zaidi ya 5mil, alipouliza sababu akajibiwa, Huyu anauzoefu mkubwa sana wa ndoa kwa hiyo kutokana na uzoefu wake inabidi mahari iwe kubwa teh teh.... teh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.