Maharamia wa Kisomali na majumba mapya Mbezi

Si afadhali hawa wanaojenga hapa kuliko hawa maharamia wa madini ambao watatuachia mashimo na sumu ardhini baada ya kuondoka na kila kitu,Gwasika pia nahisi una personal vendetta baada ya kukwaruzana na mmoja kwenye biashara this is beyond hate.

Mkuu uporoto1, nashindwa kundi la kukuweka, pamoja na facts zote zilizochangiwa hapa.
Sijui kama ni ugumu wa kuelewa au kutokuwa na uwezo wa kufikiri sijui.
Pengine tuweke kwa lugha rahisi ambayo unaweza kuielewa vizuri.
Unaambiwa kitandani kwako kuna nyoka mwenye sume-wee unajibu upuuzi huo nyoka ataingiaje katika nyumba nzuri hii na ina magrilli.
Unaambiwa , jirani yako ameumwa na nyoka jana tu-wee unasema aah bahati mbaya tu.
Na wewe huchukui tahadhari yoyote.
Sasa mkuu kama wewe uporoto1 kuumwa na nyoka ni stahili yako.

Uporoto1 kuniweka katika kundi la kuwa na bifu na hawajamaa (Wasomali) ni kujiaibisha kwa upande wako kwa vile swali langu la kwanza ni kutafuta ukweli, kitu ambacho kimedhihirika kutokana na michango tofauti.
Mkuu uporoto1, una matatizo ya kimsingi na hakuna uafadhali wa maharamia wala wale wanaoacha sumu ardhini katika migodi.
Na hapo ndo unaonekana huna dira ya kimaisha kama mtanzania.
 
What a stupidity argument!Kwa nini wasiwekeze Mogadishu?Who need piracy money,kuendeleza nchi?Japan,South Korea hawajaendelea na hela za wizi,ni UBONGO ndio unaendesha nchi.Al Shabaab wapo bongo,ngoja siku waje wakulipue !
I think between Stuxnet and Mmakonde it is Mmakonde who is stupid because he can not think outside the box. There are various ways of wealth redistribution based on different schools of thought. Even Mwalimu Nyerere when he was chair of the South- South Commission, on repayment of loans to developed countries he said "countries of the south should refrain from paying loans to developed countries because, we are taking what they took from us during colonialism"
 
Hapana mkuu kama ni fedha chafu wanayotumia kuwekeza hapa kwetu lazima tuipigie kelele, tusishiriki dhambi yao maana Mungu atailaani nchi yetu kama tutaikumbatia hii dhambi. Isitoshe mhalifu ni mhalifu tu kesho atatugeukia watanzania na kuanza kutupora pale meli zitakapoimarisha ulinzi na wakashindwa kuendelea kupora. Huwezi kujua labda pia wanashiriki kwenye biashara ya madawa ya kulevya. Nyumba zinamushroom hadi najiuliza hawa watu wanaokota hizi hela? Mbona mie siziokoti? WaTanzania tuwe macho na hawa watu sio wazuri hata kidogo. Mafia ni mafia hata kama atakupa hela za kuishi!!!
Hizi tetesi zipo kwenye circle za watu wa Intelligence...hasa zinatokana na kukamatwa kwa maharamia wa kisomali ...mwanzoni mwa mwaka huu kwenye pwani ya Mtwara baada ya mapigano na JWTZ Navy..na wale waliokamatwa kimya kimya Mafia baada ya kuwa wameishiwa maji na chakula deep sea.....kwenye mahojiano na watu wa TISS na jwtz.....jina la Mohamed N....r ...,lilitajwa .....kama moja ya GOD FATHERS wao hapa....huyu jamaa yupo connected kwenye jeshi ..na huko Tiss...,baada tu ya hizi tetesi kumfikia ....aliamua kubandua bango la TANSOMA kwenye hotel yake ya Gerezani....
Uharamia ni biashara kubwa sana kwa sasa..hutaamini hadi uingereza kuna ofisi ya ku deliver Ransom money kwa maharamia na hata Mi2 na scotland yard wanajuwa......hapo Kenya imekuwa ni moja ya source kubwa sana..ya FDI......mimi nadhani kwa nchi maskini kama zetu tubakie na msimamo kuwa Kiingiacho sio haramu bali kitokacho....kama ni majumba waacheni wajenge...mona uingereza inahifadhi pesa za rushwa toka Afrika....
Pia watu wanaotuhumiwa kuwa nao tuwe makini sana nao hasa pale tunapowashirikisha kwenye kufanya kazi na serikali...itaonekana kama vile serikali inaunga mkono uharamia...at any given time idara zetu ziwaweke kwenye surveillance na wakipatikana na ushahidi wowote basi wapelekwe mahakamani....
 
Pesa chafu kama ya uharamia, ufisadi, dawa ya kulevya nk haiwezi kuwa halali iwe isiwe, na huwa haisadii jamii japo wachache (nina maana wauza madawa wa amerika ya kusini ambao kidogo waliweza kusaidia jamii inayowazunguka kama ombaomba). Ninadhani ni jambo la maana mkuu hapo kutoa wazo kama hili kwasababu intelijinsia kote duniani huanzia kwenye vyanzo vya ajabu sana ( wengine wameita hoja ya kijinga hapa:A S 114:) Tunaona miradi mingi ya hawa wasomali inakwenda kasi isiyo ya kawaida mfano kisa cha karibuni maeneo ya kigamboni ambako kuna msomali mmoja alijenga uzio wa matofali usiku wakati wa sikukuu za Pasaka!! mafundi ujenzi walikuwa wanalipwa bila kujali kiasi cha kazi yaani pesa ilikuwa nje nje. baada ya serikali (serikali ya mtaa) kuuliza maswali mawili matatu huyu jamaa hajaonekana tena huku nyuma kaacha maswali mengi sana yasio na majibu...ukweli ni kwamba wapo tena wengi waliotoka somalia baada ya serikali kusambaratishwa ni matajiri wakubwa sana hapa nchini. hivyo sio kweli kwamba wabongo ni wavivu au wabaguzi... haya mambo yapo na serikali yetu inajua.......... :music:
Wakuu tupeane habari mabayo imekuwa minong'ono ya chini chini kwa muda mrefu hapa Dar.

Pamekuwapo na "uwekezaji" usio wa kawaida kutoka ndugu zetu wa Kisomali katika jiji la Dar es salaam kwa muda sasa.

Sehemu za Mbezi kuna nyumba, zenye nakshi ambazo kimsingi ni za kiarabu, ambazo zimekuwa zinaota kama uyoga.

Miradi kama Ununio development,TANSOMA na hata jengo moja refu hapo Mbezi ni za raia wa Kisomali.

Tusisahau hata Paradise chain.

Ni vyema kukaribisha uwekezaji , lakini je kuna uhusiano wowote na pesa haramu za maharamia wateka meli?

Nauliza tu.
 
Hapana mkuu kama ni fedha chafu wanayotumia kuwekeza hapa kwetu lazima tuipigie kelele, tusishiriki dhambi yao maana Mungu atailaani nchi yetu kama tutaikumbatia hii dhambi. Isitoshe mhalifu ni mhalifu tu kesho atatugeukia watanzania na kuanza kutupora pale meli zitakapoimarisha ulinzi na wakashindwa kuendelea kupora. Huwezi kujua labda pia wanashiriki kwenye biashara ya madawa ya kulevya. Nyumba zinamushroom hadi najiuliza hawa watu wanaokota hizi hela? Mbona mie siziokoti? WaTanzania tuwe macho na hawa watu sio wazuri hata kidogo. Mafia ni mafia hata kama atakupa hela za kuishi!!!
Hivi unajua Uswis imefaidika sana na pesa chafu? Au wewe pesa chafu ni za maharamia wa kuteka meli tu?
 
Fedha chafu gani?huko majuu kwenyewe pesa za madictotar zimejaa kwenye mabenki na huwa wanazing'ang'ania na kuzitumia wao pesa na mali za libya,iran,abacha etc wamechimbia wazungu.
Hamna pesa chafu bwana
 
Fedha chafu gani?huko majuu kwenyewe pesa za madictotar zimejaa kwenye mabenki na huwa wanazing'ang'ania na kuzitumia wao pesa na mali za libya,iran,abacha etc wamechimbia wazungu.
Hamna pesa chafu bwana
Hal hala bwana, wakizifuata usijekuwa wa kwanza kukimbia nchi kama mkimbizi.
 
Utawala wa Jenerali Mohammed Siad Barre ulipopinduliwa, mawaziri wengi wa serikali yake walikimbilia Tanzania na kuanzisha miradi ktk vitongoji vya DSm vya Kigamboni na Buguruni kwa kutaja maeneo machache. Miradi hiyo ya wakimbizi hao waliokuwa ktk serikali ya Somali ni pamoja na majumba ya ghorofa, vituo vya petroli (sheli), mahoteli na usafirishaji.

Pia wasomali wenye asili ya Tanzania wametapakaa huko nchi za Scandinavia na Marekani ya Kaskazini na kutokana na shughuli zao za kibiashara na kuendesha magari makubwa huko ughaibuni sasa wameanza kurudisha mitaji nyumbani Tanzania ktk miji yao ya asili ya wasomali-wakitanzania yaani Arusha, Moshi na Dar-es-Salaam.
 
Wacheni kuja na hoja za kijinga... mlianza na waarab mkaja wahindi sasa mmewavamia wasomali wasio na nchi yenye amani? fanyeni kazi uvivu muache uvivu... pesa zenu kwani hizo? zenu mmeshindwa kuwapokonya mafisadi mwazionea gere za wenzenu wacheni kumwaga mapovu...

wewe naona ni jamii ya wasomali, ipo siku tutawarudisha kwenu somalia maana nia yenu ni mbaya kwetu watanzania
 
Kenya kuna nyumba za hatari sana, na sehemu wanazokaaa Wasomali nairobi inaitwa Isilii!, Kuna biashara haramu huko ni balaaa mpaka roho ya mtu unaweza kupata, Wanavifaaa vya umeme haieleweki vinatoka wapi afu ni cheap sana, ila ukinunua na ukaweza kutoka navyo kwenye eneo lao bila matatizo hapo utakuwa umewin!
 
Hakuna fedha chafu popote pale duniani, nawasihi wasomali wazidi kuzileta tu zikuze ajira, ziboreshe miundombinu na hatimaye uchumi ukue. Whether wanazipata kwa uharamia au wanaua watu sisi haituhusu kwani tuko sawa na mtoto aliyezaliwa nje ya ndoa. Hana kosa wazazi wake ndiyo wana kosa
 
Kenya kuna nyumba za hatari sana, na sehemu wanazokaaa Wasomali nairobi inaitwa Isilii!, Kuna biashara haramu huko ni balaaa mpaka roho ya mtu unaweza kupata, Wanavifaaa vya umeme haieleweki vinatoka wapi afu ni cheap sana, ila ukinunua na ukaweza kutoka navyo kwenye eneo lao bila matatizo hapo utakuwa umewin!

hata south c pia wamejazana....bei ya viwanja haishikiki south c!
 
hiyo TANSOMA (ambayo nadhani ni TANZANI-SOMALIA) ni kama vile nao wameshtuka maana ile ya Nkrumah St wamelitoa hilo jina na sasa inasomeka 'HOTEL' tu. Tatizo hizi sio reliable and consistent investments!
Wakuu tupeane habari mabayo imekuwa minong'ono ya chini chini kwa muda mrefu hapa Dar.

Pamekuwapo na "uwekezaji" usio wa kawaida kutoka ndugu zetu wa Kisomali katika jiji la Dar es salaam kwa muda sasa.

Sehemu za Mbezi kuna nyumba, zenye nakshi ambazo kimsingi ni za kiarabu, ambazo zimekuwa zinaota kama uyoga.

Miradi kama Ununio development,TANSOMA na hata jengo moja refu hapo Mbezi ni za raia wa Kisomali.

Tusisahau hata Paradise chain.

Ni vyema kukaribisha uwekezaji , lakini je kuna uhusiano wowote na pesa haramu za maharamia wateka meli?

Nauliza tu.
 
Ukiangalia hili neno la 'hela chafu' ni la kinafiki tu Mji wa las Vegas ulijengwa na hela za mafia serikali ya U S wakifahamu,Uswisi imejengwa na hela zilizoibwa Ujerumani wakati wa vita na kila jambazi na dictator anaweka hela zake huko bila maswali yeyote.CIA kuna wakati walikuwa wauzaji wazuri wa mihadharati ili kupata hela za kujiendesha ambazo hawataulizwa na serikali zimetoka wapi.Mwaka jana ilikamatwa ndege ya kijeshi ya Marekani ikwa na heroin nusu tani kutoka Afghanistan ilipotua Italia soo likazimwa.
 
Ukiangalia hili neno la 'hela chafu' ni la kinafiki tu Mji wa las Vegas ulijengwa na hela za mafia serikali ya U S wakifahamu,Uswisi imejengwa na hela zilizoibwa Ujerumani wakati wa vita na kila jambazi na dictator anaweka hela zake huko bila maswali yeyote.CIA kuna wakati walikuwa wauzaji wazuri wa mihadharati ili kupata hela za kujiendesha ambazo hawataulizwa na serikali zimetoka wapi.Mwaka jana ilikamatwa ndege ya kijeshi ya Marekani ikwa na heroin nusu tani kutoka Afghanistan ilipotua Italia soo likazimwa.

Una akili sana bwana uporoto01, sijui lakini unatoka usweke upi.
Nenda LEO Marekani na usithibitishe pesa ulizonazo mfukoni kwako zikizidi dola 5000, na lupango ni yako.
Hayo yalimpata kigogo mmoja wa Uganda, Meya wa Jiji la Kampala baada ya kuto-declare dola 100,000 alizokuwa nazo mfukoni.Kwa hakika lupango alikwenda.
Tusipende kuiga historia ambazo tunajua fika hatuna utamaduni nazo.
 
Ukiangalia hili neno la 'hela chafu' ni la kinafiki tu Mji wa las Vegas ulijengwa na hela za mafia serikali ya U S wakifahamu,Uswisi imejengwa na hela zilizoibwa Ujerumani wakati wa vita na kila jambazi na dictator anaweka hela zake huko bila maswali yeyote.CIA kuna wakati walikuwa wauzaji wazuri wa mihadharati ili kupata hela za kujiendesha ambazo hawataulizwa na serikali zimetoka wapi.Mwaka jana ilikamatwa ndege ya kijeshi ya Marekani ikwa na heroin nusu tani kutoka Afghanistan ilipotua Italia soo likazimwa.

Mkuu uporoto01, nashangazwa sana na akili ya namna hii.
Hivi unaweza kutetea vipi analogy hii kwa mazingira ya kiTanzania.
Las Vegas na miji mingine uliyoitaja ushoga, ukahaba na wizi na mauaji ni fair game.
Je hawa wageni wakikubebea mmoja wa familia yako mradi wanakupa pesa kweli utaona ni sawa tu?
Nafikiri Mkuu una matatizo.
 
Uporoto fikra zako ni sawa na zangu usiwasikie hao wanaolalama kuhusu fedha chafu. Hata taasisi za dini zenye nguvu kubwa na wafuasi wengi duniani ukizichunguza vyanzo vyao vya mapato utashangaa. Kasome kitabu cha David Yallop kinachoiywa "in the God's Name" utajua kwa nini Pope John 1 wa Kanisa Katoliki aliishi kwa siku zisizozidi 40 baada ya kutawazwa kama kiongozi mkuu wa imani hiyo pale mwaka 1978
 
Mkuu uporoto01, nashangazwa sana na akili ya namna hii.
Hivi unaweza kutetea vipi analogy hii kwa mazingira ya kiTanzania.
Las Vegas na miji mingine uliyoitaja ushoga, ukahaba na wizi na mauaji ni fair game.
Je HAWA WAGENI WAKIKUBEBEA MMOJA WA FAMILIA yako mradi wanakupa pesa kweli utaona ni sawa tu?
Nafikiri Mkuu una matatizo.
Tangu mwanzo nilisema kuna kitu binafsi kinachokusukuma kwa hili angalia kwenye capitals,halafu pia dhana ya kuwa kila mwenye mawazo totauti ana matatizo ni potofu,tukubaliane kutofautiana.
 
Tangu mwanzo nilisema kuna kitu binafsi kinachokusukuma kwa hili angalia kwenye capitals,halafu pia dhana ya kuwa kila mwenye mawazo totauti ana matatizo ni potofu,tukubaliane kutofautiana.
Mimi nikifikiri naongea na watanzania wenye uchungu na nchi yao kumbe kuna wale wenye "upeo mpana zaidi" wa kuweza kuside na wageni katika mabo yahusuyo nchi yetu.
Wenye ufinyu wa uzalendo , lisipowahusu basi hilo ni la kwako na haliwahusu.
Wenye kujiona na umimi basi ukionya juu ya hatari mbeleni basi wewe una chuki binafsi.
Kuonya ni wajibu
Kuonyeka ni uchaguzi wako.
Idi Amin aliposhambulia nchi hii walikuwepo walioside naye , tena humuhumu nchini, Mwalimu hakufanya ajizi.
Wasomali waliposhambulia na kuua OCD kule sehemu za kaskazini , kuna walioopewa vijisenti, na waka side nao, nina uhakika nao walionja shubiri wanayostahili.
Mkuu uporoto01, watu wa aina yako mko wengi tu, alimradi matatizo ya waTanzania wengine hayawagusi basi nyie ni kula bata tu na wageni wa maangamizi-kama hawa ndugu.
Siku ikifika mgeni maangamizi na vibaraka wake watakuwa fair game.
 
Naomba kukumbushwa hawa wabunge wa jamhuri ya muungano waliothibitishwa kufacilitate usafirishaji wa akina mama wa kisomali kwenda ulaya(germany) kwa kufunga nao ndoa fake na kupewa diplomatic pasport, je waheshimiwa hao wana asili ya somakia?
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom