Maharamia wa Kisomali na majumba mapya Mbezi

Huyo custordian wa wasomali wote na piracy money anaitwa Guled anakaa kigamboni na alipokelewa na Mwinyi in 90's and was top official under Siad Bare regime.Jamaa anapokea na ku-organise,disburse piracy monies since 90's with goverment cover,anamiliki mtandao wa Mahotel,migahawa na apartments,aliuziwa Morogoro canvass akikiua na kuanzisha Ital shoes huko kigamboni ambako amefanya kama kambi ya wakimbizi na wazamiaji wa kisomali,aliwahi mwambie jamaa yangu ambaye ni dalali kuwa anapesa nyingi na haoni miradi ya kufanya and it is true kwani ana gerejis,viwanda,hotels,tours,carhire,real estates,tenders from government departments etc and ofcourse Kinana and him are buddies.
 
Hizi Chuki zisizo na Mbele wala Kichwa hazitufikishi popote pale....

Wangekuwa wasomali Ombaomba barabarani sijui tungesemaje...? Watu wanachakarika sisi Tunaumiya mioyo...Hii ni Mioyo ya Hasadi kuona wewe huna, basi na mwezio nae awe hana.

Hivi hizi pesa zinaitwa za Utekaji meli...zinafika kiasi gani...? Tuweni wakweli...?...kuna Kiasi wanachohitaji waporaji meli na Kuna kiasi halisi wanachopewa...!!!....Yule Mtanzania aliekuwa Jambazi kule London mbona hawasemi watanzania wote ni wezi...?

Unajua wakati wa Vita kunakuwa hakuna serikali ya kusimamia.Hivyo watu wanafanya biashara watakavyo. na si kusema eti wasomali wanafanya biashara haramu...Assume pale bandarini kungekuwa hakuna hakuna serikali/TRA...bei za vitu vingekuwa kama hizi za sasa?

Tuache Chuki na Hasadi zisizo na Maana. Sisi Watanzania tuna Uvivu na majungu miongoni mwetu. Hata ndugu zetu waliopo nje ya nchi wengi wao wapo hivyo. hawana business ya maana wanayofanya.

Mkuu kabla ya kumwaga upupu soma thread yote uelewe kinachoongelewa.
Kwa mtu aliye na akili timamu anajua hasa msukumo wa analysis ambayo imechangiwa vyema.
Inaelekea unaumbumbu wa aina fulani na hivyo kutokuwa na upenyo wa akili wa kuelewa kinachoongelea hapa katika mada hii.
Hachukiwi Msomali bali ugaidi.
First and foremost weka hilo kwenye akiba ya akili yako
Pili kwa akili kama yako ya kawaida waweza fikiri it is a coincidence kuwa kuna utekaji meli, na kuna uwekezaji mzito kutoka baadhi ya wasomali waliopo nchini.
Tatu akili iliyolemaa kama yako utafikiriri milipuko iliyotokea Kampala na Nairobi ilikuwa bahati mbaya tu.
Nne ,bwana Chuma,kama upo nchini utaona kuwa ni jambo la kawaida sana kwamba wasomali wanakamatwa kwa mamia huko Songea ,Kilwa Mbeya na mipaka iliyo mbali na mpaka ambao ungetegemea wangekamatwa, yaani mpaka wa kaskazini.

Ndio maana, bwana Chuma,nasema una umbumbu wa aina fulani kama unashindwa to connect the dots.

Hili mimi sikukurupuka nimeona hizi developments na kuzitembelea.
Wengi wa hawa devlopers hata kiswahili kinawapa shida.

Kwa taarifa yako sasa hivi bongo waTanzania wwenyewe wanawekeza vilivyo.Tembelea Kariakoo, Tegeta na hata Bagamoyo.
Mimi mwenyewe nimewekeza( real estate)
Hili tunaloliongelea ni la kuwasaidia watu kama ninyi mabao mnafikiri pesa za nje ni kila kitu na unaishia kubeba maoksi huko nje na ukirudi utaendelea kubeba hayo maboksi hapa nchini ya wale uliowaacha huko nje.
Na inaeleka hata matatizo ya wananchi na wawekezaji wa Barrick Gold huna habari.
Think and grow up buddy
 
  • Thanks
Reactions: Ame
LOLE GWAKISA & PHILLEMON MICHAEL...!
I GIVE YOU HONOURARY DOCTORATE DEGREE FOR THIS THREAD....!
SO...Dr. Gwakisa and Dr. michael......TANZANIA is our country, and above all ...there are many people who have sensitive and important informations on different matters done against our beloved country.No matter what....but as GOOD CITIZENS we should report these things to the SERIOUS AUTHORITIES which they cant hesitate to take measures against them...!
MY REQUEST:
Most of us (no research done),do not know where we can tell our heart's secrets and still remain HEART'S SECRETS...! Can we have somewhere (people/offices) where sensitive issues could be dirrected to?
REGARDS....!
Nakufagilia mkuu kwa senks zako na vile vile ku appreciate the gravity of the problem
Mimi nilikuwa namheshimu sana Mwalimu kwa vile aliwahi kutoa statement:
"Ulinzi wa nchi ya Tanzania ni jukumu la kila mwananchi Mtanzania, na hasa kila mzalendo"
Siku hizi nasikia inaitwa Ulinzi shirikishi.
Hata hivyo kwa masuala mazito mkuu , waweza kufuika ofisini kwa DC(Mkuu wa Wilaya) yeyote nchini na masuala yanakuwa yamefika.
Hapa JF najua ni lazima jamaa wanapita pita , na kama wachangiaji walivyo comment , inaelekea hii ni habari inafahamika.
 
Hata nchi za magharibi ambazo leo ziko kwenye group la G8 zilifanya uharamia kwa mali za bara la Afrika. Halafu leo eti zinalalamikia uharamia wasomali bila aibu. Kwa mtazamo wangu as long as hao pirates Kisomali wanapata ransom money kutoka kwenye meli za wale waliochukua madini na mazao yetu wakati wa ukoloni, basi kama wana wekeza lwenye vitega uchumi kama hivyo vya utalii, real estate na viwanda hakuna ubaya na tujione tuna bahati kuupata mtaji bila kupitia IMF na World bank. Nenda Nairobi na Dubai ukaone hao pirates walivyowekeza,
 
Kumbukumbu zangu ndogo hawa wasomali uharamia uko ndani ya damu......miaka ya 70 na 80 walisumbua sana kwa kuua tembo na kupora vipusa kwenye mbuga zetu, waliingiza silaha za kivita na ku wipe out tembo wote....ukitizama wamejazana na hakuna wanachofanya kinachodhihirisha utajiri wao....wanashiriki katika mitandao ya madawa ya kulevya, kusafirisha watu kinyemela, na ni wabaguzi kuliko wahindi
 
Hata nchi za magharibi ambazo leo ziko kwenye group la G8 zilifanya uharamia kwa mali za bara la Afrika. Halafu leo eti zinalalamikia uharamia wasomali bila aibu. Kwa mtazamo wangu as long as hao pirates Kisomali wanapata ransom money kutoka kwenye meli za wale waliochukua madini na mazao yetu wakati wa ukoloni, basi kama wana wekeza lwenye vitega uchumi kama hivyo vya utalii, real estate na viwanda hakuna ubaya na tujione tuna bahati kuupata mtaji bila kupitia IMF na World bank. Nenda Nairobi na Dubai ukaone hao pirates walivyowekeza,

Hiyo haihalalishi uharamia wa wasomali au kuingiza pesa zao chafu hapa nchini. Wazungu walifanya makosa, na wasomali nao wanafanya makosa. Yote ni makosa; two wrongs don't make it right.
 
Hata nchi za magharibi ambazo leo ziko kwenye group la G8 zilifanya uharamia kwa mali za bara la Afrika. Halafu leo eti zinalalamikia uharamia wasomali bila aibu. Kwa mtazamo wangu as long as hao pirates Kisomali wanapata ransom money kutoka kwenye meli za wale waliochukua madini na mazao yetu wakati wa ukoloni, basi kama wana wekeza lwenye vitega uchumi kama hivyo vya utalii, real estate na viwanda hakuna ubaya na tujione tuna bahati kuupata mtaji bila kupitia IMF na World bank. Nenda Nairobi na Dubai ukaone hao pirates walivyowekeza,

What a stupidity argument!
Kwa nini wasiwekeze Mogadishu?

Who need piracy money,kuendeleza nchi?Japan,South Korea hawajaendelea na hela za wizi,ni UBONGO ndio unaendesha nchi.

Al Shabaab wapo bongo,ngoja siku waje wakulipue !
 
Lole, pole bwana unaoneka kabisakabisa unauchungu na nchi yako....lkn vyombo unavyovitaka viwe makini kwasasa haviioni kabisa hatari hii!Wao hatari kwa nchi yetu ni Chadema! Ndiyo wako bize kutuma majasusi usiku na mchana kuwafuatilia huku adui hasa akiachwa ajiimarishe!

Kwa kweli bila kuwaondoa hawa jamaa wamagamba tutaendelea kunyanyasika mpaka mwisho! Nchi imekuwa kama haina mwenyewe!!
 
Kumbukumbu zangu ndogo hawa wasomali uharamia uko ndani ya damu......miaka ya 70 na 80 walisumbua sana kwa kuua tembo na kupora vipusa kwenye mbuga zetu, waliingiza silaha za kivita na ku wipe out tembo wote....ukitizama wamejazana na hakuna wanachofanya kinachodhihirisha utajiri wao....wanashiriki katika mitandao ya madawa ya kulevya, kusafirisha watu kinyemela, na ni wabaguzi kuliko wahindi
Du asante san Ntaka Grand, umenikumbusha mbali.
Na je tunakumbuka serikali ya awamu ya kwanza ilifanya nini?
Iliunda Kikosi Maalum (kutoka idara zote za ulinzi na usalama)cha kuangamiza Majangili,na operational policy wakati huo ilikuwa shoot-to-kill kwa jangili yeyote aliyepatikana mbugani.
Tatizo la wasomali lilipungua
 
Kwa kweli bila kuwaondoa hawa jamaa wamagamba tutaendelea kunyanyasika mpaka mwisho! Nchi imekuwa kama haina mwenyewe!!
Nafarijika kwamba uzalendo kwa nchi hii crosses party lines, nchi ni ya wazalendo na ndio tunao wajibika kuilinda.
 
lole big up!! wht u wrote is a burning topic in intel circle..., nyinyi mnaoandika upuuzi for your country's sake muwe wazalendo at least for a minute...,
 
Mbona tunawaona wasomali tu? Jee, na yale mahoteli ya wataliano yaliyojazana fukwe zote za Afrika Mashariki tumeshajiuliza wanakozitoa rasilmali?
 
Mbona tunawaona wasomali tu? Jee, na yale mahoteli ya wataliano yaliyojazana fukwe zote za Afrika Mashariki tumeshajiuliza wanakozitoa rasilmali?

Are stupid?how can you compare Msomali na Mtaliano kibiashara?Kama unapinga watallii kwenda mahoteli haya,kwa sababu ya imani yako,sema hivyo.
Wasomali kila sehemu ni tabu tu,hata UK wanapata kila kitu na kuzaliana kama kuku,Wazungu wamewachoka.
Uzuri UK kuna sheria,hivyo crimnality yao hawafanyi,ila young people wana gangs sasa.
 
Hatuwasemi kwa kuwa wana pesa kwani wengine ni masikini wa kutupwa.Wengine wapo Temeke huku....dada zao wanauza miili sana ili waishi. Tunachoongea ni uhalali wao wa kuishi nchini na uhalali wa kazi zao. Mgeni hana uzalendo na hii nchi..Wameharibu nchi yao,wanataka kuharibu na nchi yetu. Kenya tayari wamejipenyeza sana. Kama eneo la EastLeigh jamaa wamejimilikisha kila kitu. Mtu mwingine huwezi hata kupata chumba cha kuishi kule mahali kama siyo Msomali.
 
lole big up!! wht u wrote is a burning topic in intel circle..., nyinyi mnaoandika upuuzi for your country's sake muwe wazalendo at least for a minute...,
Mkuu thanks for the appreciation.
Watu wengine wanachukulia huu utulivu tulionao for granted.
Niseme wazi siwachukii wasomali lakini put two or three Somalis together you have a fire.
Wasomali wana ukabila,ttofauti kuwa kati ya koo na koo, udini mkubwa sana.
Katika hali kama hii if you have a Somali community lazima utapambana na matatizo yao, na makundi kama Al Shabab na Al Qaeda hayatakuwa mbali sana.
 
Mbona tunawaona wasomali tu? Jee, na yale mahoteli ya wataliano yaliyojazana fukwe zote za Afrika Mashariki tumeshajiuliza wanakozitoa rasilmali?
Mbona Wataliani walikwisha gundulika na wakaanza kuchoma moto hoteli zao baada ya deal zao za kusafisha pesa ya madawa ya kulevya kugundulika.
Kinachosikitisha ni kwamba katika kuwakaribisha hawa wawekezaji feki kuna viongozi wenzetu wanahusika kwa kujua au kuto kujua.
 
Heshima kwenu wanajamvi,

Wakuu mkuu wa al-Qaeda Afrika Mashariki Fazul Abdullah Mohammed alikuwa akiishi Somalia,alihusika na ulipuaji wa balozi za Marekani Kenya na Tanzania.Bwana Fazul Abdullah kauwawa wiki iliyopita ni miongoni mwa magaidi waliokuwa wakisakwa sana na FBI shirika la ujasusi la Marekani.
 
Si afadhali hawa wanaojenga hapa kuliko hawa maharamia wa madini ambao watatuachia mashimo na sumu ardhini baada ya kuondoka na kila kitu,Gwasika pia nahisi una personal vendetta baada ya kukwaruzana na mmoja kwenye biashara this is beyond hate.
 
Mkuu thanks for the appreciation.
Watu wengine wanachukulia huu utulivu tulionao for granted.
Niseme wazi siwachukii wasomali lakini put two or three Somalis together you have a fire.
Wasomali wana ukabila,ttofauti kuwa kati ya koo na koo, udini mkubwa sana.
Katika hali kama hii if you have a Somali community lazima utapambana na matatizo yao, na makundi kama Al Shabab na Al Qaeda hayatakuwa mbali sana.

Heshima kwenu wanajamvi,

Wakuu mkuu wa al-Qaeda Afrika Mashariki Fazul Abdullah Mohammed alikuwa akiishi Somalia,alihusika na ulipuaji wa balozi za Marekani Kenya na Tanzania.Bwana Fazul Abdullah kauwawa wiki iliyopita ni miongoni mwa magaidi waliokuwa wakisakwa sana na FBI shirika la ujasusi la Marekani.

Mkuu Ngongo, thanks for the information .
Sas inakuwa rahisi kuconnect the missing dots.
Kwa kifupi inabidi tuwe macho sana.
 
Back
Top Bottom