pleo
JF-Expert Member
- Jun 20, 2013
- 3,360
- 2,495
yakirukaruka ndio yameiva au bado? Leo mama watoto hayupo nataka kutoa kitu.Chambua Maharage, osha bandika jikoni....
Yakianza kuiva ile kulainika, katakata vitunguu, carrot,hoho viweke vyote kwenye maharage, mafuta kidogo sana na Chumvi.
Funika viungo vichemke hadi viive sana huo utamu wake mmmh