BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
BelindaJacob..........................vipi nawe.............hujui waandishi wazuri wengi hawawezi kozi ya vitendo.........ni magwiji wa nadharia tu tena za kusoma vitabuni.......................kwa hiyo mie mchovu sana..............ila nafurahia kuburudisha wengine kwa kalamu tu......................yaelekea chuchu zako umezifaidi vizuri wengi haya majambozi huyasikia kwenye bomba....................ila mambo yakupakana asali na chokola..................yanaondoa ile nature yake............jaribu kwa kavukavu khalafu unipashe khabari.....................kwa wale ambao wapenzi wao hawawanyonyi.............wakati umefika wa kudai khaki hii ya kimsingi............
Nahisi kuna mtu kakuteka akili ,he he...! ujue ndo unatupa maujuzi mengi kuonyesha u mtaalam, ha ha
Kavukavu nimejaribu mara nyingi, ndo niliyozoea kiukweli sema hiyo asali nayo ni njonjoz flani tu. Ila wanaume muwe waangalifu kama bibie ana mtoto usije kunyonya maziwa (of course kama ni mke/mchumba utajuaa mana uko nae sana)..maana umelewa zako halafu unaenda kwenye ile shughuli, mbona pombe itakata kwa kushiba maziwa!!