Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Uzuri wa mwanamke ni maumbile yake..
Tabia yake hata iwe bora vipi siyo "reception" yake...........
Ingawaje tabia nzuri baadaye huja kufunika maumbile yake.......
Lakini, ukweli usiokwepeka ni kuwa "first impression endures in a man's heart........."
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Sura kweli yaweza kunizuzua na butwaa kupigwa.......
Tabasamu lake laweza kunitikisa na magoti yangu kuweweseka.............
Macho yake akinirembulia yaweza kunivuta nami kuvutika naye, hata fikra zangu kughafilika.......
Mashavu yake yakinesanesa huweza kunilainisha....nami nikachanganyikiwa!
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Usafiri wake waweza kunifikirisha na hata kuwaza yasiyowazika
Kiuno chake chaweza kunipagawisha na kuniacha nishike tama.
Wowowo lake halinipi maruerue nikifahamu wenzangu wengi nitatofautiana nao,
Miondoko yake yaweza kutia chachu lakini haijitoshelezi, kamwe......
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Kwangu mie, lazima nikiri hadharani ya kuwa........
Mambo yote tisa lakini kumi kwangu ni chuchu zake.......
Chuchu zake hunipagawisha na huamini ndizo funga kazi.....
Haya ninayasema nikielewa majukumu ya chuchu kwenye mechi........
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Mabusu motomoto kwenye mechi hayahamasishwi na "reception"...
Lakini mechi haikamiliki kama chuchu sijazing'ata mie.............
Sijui kwako imekaaje lakini sioni kama mechi imekamilika......na kusikika ikiiva...
Nakhofu kufafanua kwani sijui una umri gani?
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Tabia yake hata iwe bora vipi siyo "reception" yake...........
Ingawaje tabia nzuri baadaye huja kufunika maumbile yake.......
Lakini, ukweli usiokwepeka ni kuwa "first impression endures in a man's heart........."
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Sura kweli yaweza kunizuzua na butwaa kupigwa.......
Tabasamu lake laweza kunitikisa na magoti yangu kuweweseka.............
Macho yake akinirembulia yaweza kunivuta nami kuvutika naye, hata fikra zangu kughafilika.......
Mashavu yake yakinesanesa huweza kunilainisha....nami nikachanganyikiwa!
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Usafiri wake waweza kunifikirisha na hata kuwaza yasiyowazika
Kiuno chake chaweza kunipagawisha na kuniacha nishike tama.
Wowowo lake halinipi maruerue nikifahamu wenzangu wengi nitatofautiana nao,
Miondoko yake yaweza kutia chachu lakini haijitoshelezi, kamwe......
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Kwangu mie, lazima nikiri hadharani ya kuwa........
Mambo yote tisa lakini kumi kwangu ni chuchu zake.......
Chuchu zake hunipagawisha na huamini ndizo funga kazi.....
Haya ninayasema nikielewa majukumu ya chuchu kwenye mechi........
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?
Mabusu motomoto kwenye mechi hayahamasishwi na "reception"...
Lakini mechi haikamiliki kama chuchu sijazing'ata mie.............
Sijui kwako imekaaje lakini sioni kama mechi imekamilika......na kusikika ikiiva...
Nakhofu kufafanua kwani sijui una umri gani?
Lakini mahanjamu ya chuchu wayajua wewe?