Josephine03
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 752
- 302
Nimekuwa nikisikia hii skendo tangia nilipopevuka katika maswala ya Nchi na uongozi wake, ninachoomba kwa yeyote mwenye uelewa wa hii skendo atuwekee hapa jamvini ili sisi tuliombali na uelewa tupate mwangaza.
Angalizo: kama ilishajadiliwa pia naomba huo uzi niufatilie natanguliza samahani na shukrani kwa kunielewa. Takbir!!!!!!!
Angalizo: kama ilishajadiliwa pia naomba huo uzi niufatilie natanguliza samahani na shukrani kwa kunielewa. Takbir!!!!!!!