Halafu kuna watu(hapa Njb Kaskazini) wanataka eti wachague mtu aliyeishia darasa la nne(ingawa anatudanganya kafika la saba) awe mbunge wasijue kabisa kuwa hatakuwa na mchango wowote zaidi ya kupigia kura miswada kwa minajili ya kuvutia upande wao.
Kukiwa na wabunge mambumbumbu watawezaje kujadili miswada nyeti kama hii wakati wengine hawajui kusoma wala kuandika,na wengine wanaingizwa bungeni ili kulinda maslahi ya chama,na hawathubutu kujikita kwenye kujadili mambo yenye manufaa kitaifa.
Ndiyo kawaida ya serikali ya awamu ya nne inabwagwa kila sehemu. Tatizo ni kuwa kila jambo inafanya pupa tu kwa lengo la ku-win mass kwamba inapelekwa hata vigogo mahakamani kama jk anavyozungumza majukwaani.
Hata suala la mgombea binafsi lilifanywa kwa jazba tu. JK afahamu kuwa uongozi wake una dalili zote za kupwaya angeachia ngazi mapema huenda tungempatia heshima kubwa kuliko hivi sasa. Dr. Slaa akishinda urais, tumtarushia JK vilago vyake aende Chalinze.
Duh, kumbe bado una ndoto tu za Slaa kuchukua nchi hii mkuu ? hii nchi haichukuliwi kwa ww kwenda kutumbukiza tu kikaratsi
Kesi hii ilifunguliwa kwa shinikizo la kikwete kutaka kumkomoa mzee huyu aliyekuwa mwadilifu katika utumishi wake akiwa balozi italy.Walitaka kumuingiza katika ufisadi wa kutafuta pesa za kampeni 2005 akawatolea nje. Wakaamua kumkomoa lakini mwisho wa siku serikali hoi.Ndugu zake wasukuma wanahasira sana na ****** watammalizia kwenye sanduku la kura mwaka huu.
<br /><b><font color="purple">Duh, kumbe bado una ndoto tu za Slaa kuchukua nchi hii mkuu ? hii nchi haichukuliwi kwa ww kwenda kutumbukiza tu kikaratsi</font></b>
Duh, kumbe bado una ndoto tu za Slaa kuchukua nchi hii mkuu ? hii nchi haichukuliwi kwa ww kwenda kutumbukiza tu kikaratsi