Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 401
kuka ni njoka jombaa
Kutila injoka? Une ngutila iavatar jhako.
Nkasi gwangu ujho.
mi nimeandika makolokocho, sidhani hata kama yanaleta maanammm naona kilugha kimetawala hapa
Nkasi gwangu ujho.
Mh! Sika sya naloli mmanyani. . .
Nkasi gwangu ujho.
Ufyeke hizo nyasi unless zitaota hadi kitandani usicheze na snakes lol
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Hapo juu kidogo "I wish ningekuwa naishi hapo"
Hapa chini "Ufyeke nyasi....."
Naamini ukikaa hapo mwaka mmoja tu mazingira yatakuwa yameharibika tayari. Nyoka si adui mkubwa kiasi cha kufanya uharibu uoto wa asili.
Tuna watu wanachuki kubwa hata nyoka wanawaogopa. Can you imagine watu wazima na akili zao wamethubutu kubomoa kaburi la mtoto mchanga kwa kuwa tu si wa dini yao? Sasa bora kuishi na nani kati ya NYOKA na WABOMOA KABURI?