Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Mzee alimfungulia mshkaji kesi kwa kumchukulia mke yake. Mwisho wa siku ikafika, na hakimu kumuacha huru mshtakiwa kwa kutokuwa na kosa. Ndipo yule mzee alipomgeukia hakimu na kumuambia...
Mzee: Bw. hakimu, mi nakuomba uniruhusu nilale na mke wako usiku mmoja tu.
Jaji: miezi sita ndani kwa kumdhalilisha hakimu.
Mzee: Bw. hakimu, miezi sita ndani kwa kukuomba tu kulala na mke wako, wakati hata bado sijalala naye lakini niliyemfumania na mke wangu hukuona kosa!
Jaji:????
Mzee: Bw. hakimu, mi nakuomba uniruhusu nilale na mke wako usiku mmoja tu.
Jaji: miezi sita ndani kwa kumdhalilisha hakimu.
Mzee: Bw. hakimu, miezi sita ndani kwa kukuomba tu kulala na mke wako, wakati hata bado sijalala naye lakini niliyemfumania na mke wangu hukuona kosa!
Jaji:????