kweli Tanzania hatuna mahakama, sijuii tuta tokea wapi, wasomi wetu nao ni washirikina, viongozi wetu ndio hao hao wanatuuza kama watumwa na kujiuza wenyewe kwa mafisadi, mwisho wa siku kuna siku watakula wenyewe kwa wenyewe ndio hapo uasikia mbona kijiji kwetu au watu wangu hawapati kazi wa mwingine wanapata zaidi etc etc , kumbe matatizo tunajitafutia wenyewe kwa kuendekeza ujinga kama huu.Mhhhhh! bora tuiite tu Mahakama ya CCM maana iko pale kulinda maslahi ya chama twawala badala ya yale ya Watanzania.
kweli Tanzania hatuna mahakama, sijuii tuta tokea wapi, wasomi wetu nao ni washirikina, viongozi wetu ndio hao hao wanatuuza kama watumwa na kujiuza wenyewe kwa mafisadi, mwisho wa siku kuna siku watakula wenyewe kwa wenyewe ndio hapo uasikia mbona kijiji kwetu au watu wangu hawapati kazi wa mwingine wanapata zaidi etc etc , kumbe matatizo tunajitafutia wenyewe kwa kuendekeza ujinga kama huu.
Mimi naona siyo Mtikila aliyeshindwa bali ni watanzania wapenda demokrasia ya kweli wameshindwa. Kwa lugha nyingine ni kuwa demokrasia imeshindwa Tanzania. Kwa hiyo wabunge wa CCM wataendelea kuwa misukule ya watawala kwani wataendelea kufinywa kwa koleo liitwalo kulinda masilahi ya chama. Masikini wasomi wetu watakao kuwa wabunge kupitia CCM wataishia kufungwa midomo na akili zao na watu wasio na elimu kama akina Y M .
Hatimaye rufaa yatupwa uamuzi kufanywa na Bunge!.
Jaribu kufikiria scenario hii: Mahakama inaruhusu mgombea binafsi, Mtikila anatafuta mchungaji mwenzake ama mfuai mwenzake wa siasa za chuki dhidi ya wazanzibari, waasia, waislamu, wageni wengine na hata watanzania waishio mipakani ambao kwa mujibu wake sio watanzania wa kweli halafu wanakuwa wagombea binafsi katika uchaguzi ujao wa urais dhidi ya yule ambaye Mtikila tayari ameshasema kuwa ni gaidi na ana ajenda ya kuumaliza ukristo hapa nchini. Fikiria aina ya Tanzania tutakayokuwa nayo wakati na baada ya uchaguzi huo........
kwa mara nyingine wananchi wameshindwa na serikali yao....eeeeh mungu tuokoe
Jaribu kufikiria scenario hii: Mahakama inaruhusu mgombea binafsi, Mtikila anatafuta mchungaji mwenzake ama mfuai mwenzake wa siasa za chuki dhidi ya wazanzibari, waasia, waislamu, wageni wengine na hata watanzania waishio mipakani ambao kwa mujibu wake sio watanzania wa kweli halafu wanakuwa wagombea binafsi katika uchaguzi ujao wa urais dhidi ya yule ambaye Mtikila tayari ameshasema kuwa ni gaidi na ana ajenda ya kuumaliza ukristo hapa nchini. Fikiria aina ya Tanzania tutakayokuwa nayo wakati na baada ya uchaguzi huo........