SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
Mimi naona siyo Mtikila aliyeshindwa bali ni watanzania wapenda demokrasia ya kweli wameshindwa. Kwa lugha nyingine ni kuwa demokrasia imeshindwa Tanzania. Kwa hiyo wabunge wa CCM wataendelea kuwa misukule ya watawala kwani wataendelea kufinywa kwa koleo liitwalo kulinda masilahi ya chama. Masikini wasomi wetu watakao kuwa wabunge kupitia CCM wataishia kufungwa midomo na akili zao na watu wasio na elimu kama akina Y M .