Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Naona kuna watu kesi za kusababisha vifo zinawanyemelea, waendelee tu.
Acha mkwara wewe, comment zako siku zote ni za mkwala mkwala, eti kesi za kusababisha vifo.
Naona kuna watu kesi za kusababisha vifo zinawanyemelea, waendelee tu.
utatia Lupango madaktari na na wauguzi wote??Watashtakiwa kwa kudharau Mahakama, na wakipatikana na hatia, ni moja kwa moja lupango.
Madaktari tanzania hawana UTU, wanatazama maslahi binafsi.
Utamburuza punda mpaka mtoni lakin je maji atakunywa? kama kama atakunywa bas ni kwakua ameridhika na si vinginevyo. Attendance regester itajaa by saa moja na nusu lakin je wodin wataenda?na kama wataenda watahudumu?na kama watahudumu je huduma itakua stahiki?
Watanzania maisha yetu yanachezewa kamali kwajili ya upumbavu wetu. Tukachagua kundi la wahuni (wanamtandao) na kuliweka madarakan. Hapa hatuteswi na kingine bali upumbavu na uoga wa watanzania sisi wenyewe. Usipovuka mto huez jua kilichopo ng'ambo na hilo ndio tatizo letu tunaogopa unaeza enda ng'ambo ukakuta sio kuzur bt hatujiuliz je kama ni kuzur?
Shame on us Tanzanians including me and all zamakafaz wanaoshabikia upumbavu na mtandao.
Acha mkwara wewe, comment zako siku zote ni za mkwala mkwala, eti kesi za kusababisha vifo.
Kwanini usinunuwe wewe mtungi wa gesi kwa fedha unazopata kutoka hospitali za private, kama kweli una nia ya kuokoa maisha? ambazo kuna uwezekano mkubwa kuwa hata kodi huzilipii.
Mahakama kuu divishen ya Kazi imepiga marufuku mgomo wa madaktari ambao ulipangwa kufanyika kuanzia kesho.
Source- Habari ITV
Wala hakuna Keko au babake na Keko, wakati wanahangaika Muhimbili na kwingineko mahakama zilikuwa wapi? Tatizo la TZ hatuna kigezo cha mshahara, watu darasa la 7 (eti wabunge wakiingia tu wanaanza na 90,000,000/=) kama gratuity ya kununua magari, halafu msomi aliyekaa shuleni kwa miaka zaidi ya 23 anaambiwa atapewa laki tatu wapi na wapi na nani atakubali? Nchi hii inahitaji akina Hiter ili tuongeze bidii ya kazi na tuogope wizi wa waziwazi
Kwanini usinunuwe wewe mtungi wa gesi kwa fedha unazopata kutoka hospitali za private, kama kweli una nia ya kuokoa maisha? ambazo kuna uwezekano mkubwa kuwa hata kodi huzilipii.
Hivi hii mahakama ya kazi, kwanini isiibane serikali kutekeza makubaliano. Hizi mahaka zina harufu ya mgongano wa kimaslahi
mimi ni mwalim lakin kama chaki zimeisha siwez nunua,,,,hiyo bajet inayopitishwa na kupigiwa makof inaenda wapi,,,,huo mshahara hautosh uende ukanunue mtungi wa gas,halafu mganga mkuu anatembelea VX huu si wehu????
Madaktari tanzania hawana UTU, wanatazama maslahi binafsi.
Kwa jinsi serikali yetu ilivyochoka, inaweza kufanya hivyo. Unajua ukichoka sana hata uwezo wa kufikiri huwa unapungua. Hii serikali ni bure kabisa.utatia Lupango madaktari na na wauguzi wote??