Arafat
JF-Expert Member
- Nov 17, 2009
- 2,581
- 758
Kuna tatizo hapa tena kubwa sana, maana wewe mkeo akikushtaki mahakamani mahakama inatumia sheria ya ndoa kuhoji na kusikiliza hilo shauri!? Kama ni makosa ya Jina yana kuwa chini ya sheria ya makosa ya Jina, Kama ni malalamiko ya uchaguzi na pingamizi za uchaguzi Mahakama inatumia sheria ya Uchaguzi na ile ya tume ya uchaguzi sasa hili la kupinga uchaguzi wa Askofu Mahakama ina-refer sheria hipi? Jamani wanasheria tusaidieni kama kunasherika inasimamia chaguzi za Maaskofu hapa Tanzania.