Jamani, hili suala la Chenge kwa hakika linatia kichefuchefu. Mtu ameua lakini bado yupo tu kwenye nafasi zake zote ndani ya chama na hata bungeni?
Kwa kweli Chenge alipaswa ajiuzulu katika nafasi zake zote. Lowassa naye na pia Mramba walipaswa wajiuzulu katika nafasi zao za ubunge na ndani ya chama hadi masuala yao yatakavyoshughulikiwa. Sijui tunaenda wapi. Mimi ninayo hofu. Tutakuja shuhudia makubwa yakitokea katika nchi hii.
Tushawazoea hao..Wote ndo hao hao,wanatuzugazuga tuu waonekane watu fair wakati lao moja...
Wananchi wafanye maamuzi sasa ya kuondoa hii system atleast hawa miungu watu waondoke tuanze maisha mapya.:eyeroll2:confused2:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.