Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,783
Kaka Kubenea pole sana,
Binafsi nimekuwa nikipingana na wewe siku za karibuni, kuwa wewe ni mwanajehi na inabidi uwe mwanagalifu sana, kwani madhara yake yanaumiza wengi tu wakiwamo wasomaji wako.
Nimekuwa nikimkandia kwa kumpa changamoto asiweke lango lolote la maadui kumshinda, tangu alipofungiwa, tindikali na hili la sasa, lazima tuangalie ethics za kazi.
Mahakama jamani tusiilaumu, kama Mramba na Yona tulishangalia leo tulie??
Ni wakati mzuri wa kjipanga na kukwepa hali kama hizi for future.
wala washabiki wa Kubenea, jaman mtu akifanya makosa kulinda linda ni kumpa kichwa.....kamanda huyu akitoweka, damu yake iyakuwa juu yenu.Morogoro bado hujjibi zile tuhumua-USHAHIDI NDIO DEAL,
wale wote fulani fisadi, toeni vithibitisho, tukishindwa , tufagie CCM WOTE BILA KUJALI KILANGO WALA KALANGO!
Binafsi nimekuwa nikipingana na wewe siku za karibuni, kuwa wewe ni mwanajehi na inabidi uwe mwanagalifu sana, kwani madhara yake yanaumiza wengi tu wakiwamo wasomaji wako.
Nimekuwa nikimkandia kwa kumpa changamoto asiweke lango lolote la maadui kumshinda, tangu alipofungiwa, tindikali na hili la sasa, lazima tuangalie ethics za kazi.
Mahakama jamani tusiilaumu, kama Mramba na Yona tulishangalia leo tulie??
Ni wakati mzuri wa kjipanga na kukwepa hali kama hizi for future.
wala washabiki wa Kubenea, jaman mtu akifanya makosa kulinda linda ni kumpa kichwa.....kamanda huyu akitoweka, damu yake iyakuwa juu yenu.Morogoro bado hujjibi zile tuhumua-USHAHIDI NDIO DEAL,
wale wote fulani fisadi, toeni vithibitisho, tukishindwa , tufagie CCM WOTE BILA KUJALI KILANGO WALA KALANGO!