Mahakama yaamuru Mbowe akamatwe

mbowe kazi kwako helikopta ya bure hiyo. Km watataka mtu wa kukusindikiza nichague mimi
 
Utawala wa sheria

Yaah! "Utawala" wa sheria! Mbowe anaandikiwa hati ya kukamatwa lakini Magufuli hakimu anasitisha kuendelea kusikiliza! Huo ndio utawala.
Ndio maana sitaki kutawaliwa hata kama "utawala wa sheria". Tunachohitaji watz ni uongozi, tena uongozi bora. Kama unataka "kutawaliwa", tena kutawaliwa kwa sheria pole sana. Pole sana!
 
Daaaaaah! Hata kama wakimkamata ili kubadili upepo. hututo sahau hujuma za polisi na mauaji wanayo tekeleza.
 
Hata ningekuwa mimi lazima kuna siku nisingefika mahakamani. Kesi gani ya aina hiyo isiyoisha muda wote huo. Usikilizaji wa kesi wa namna hiyo unarudi maendeleo nyuma. Mtu atenge siku za kuja mahakamani kwa miaka mitatu, kesi yenyewe hiyo. Ufisadi mwingine wa raslimali watu, fedha na hata muda mnautengeneza maana siku hiyo hamtasikiliza kesi ya msingi/kuu bali mtaikomalia ya kutofika mahakamani huku polisi wamejazana utafikiri kuna la maana. Nchi hii, khaa!
 
Mbowe ni jembe. Mwema aandae tena helikopta.
kesi toka 2010 mpaka leo hukumu bado? ni njama za kumdhoofisha sauti zege mzee wa anga bila sababu za msingi!
ok hakimu umepata umaarufu subiri liwalo na liwe akuhamishe@!
 
Ni vyema kamanda akaitikia wito kujiepusha vi kesi visivyokuwa na msingi wala sekondari kama si lenta. Aitike wito jambo lifikie mwisho kama kiongozi ana mambo mengi ya kufanya kwa ajili ya mabadiliko ya Tanzania tuitakayo mwaka jana walimpakia na helkopta maana walijua ni jembe na ana majukumu hawakumpotezea ila atambue si kila siku ni ijumaa hajui mwaka huu wana plan gani kutekeleza amri ya mahakama
 
Wanataka kusahaulisha ya mwangosi. Vipande vya movies vya serikali ya sisiem bwana.
 
Ama kweli vipovu wa mawazo tupo wengi, virusi vya ujinga vimeshambulia akili
. Napita tu mzee wa kaya!
 
Hukumu haijatolewa nahisi kwa sababu wanataka uchaguzi ukikaribia wakichafue chama cha nguvu ya umma kweli nchi imekwisha
 
Back
Top Bottom