Utawala wa sheria
kwani ni lazima afike mbowe mwenyewe mahakani? wakili wake anatosha sana!
Picha jingine hilo.
Wasiosoma ni chakula cha wasomi.
kesi toka 2010 mpaka leo hukumu bado? ni njama za kumdhoofisha sauti zege mzee wa anga bila sababu za msingi!
ok hakimu umepata umaarufu subiri liwalo na liwe akuhamishe@!
kwani CCM ndio ipo juu ya sheria?Hayuko juu ya sheria huyo. Akamatwe apelekwe au ajipeleke mwenyewe.
Karibu sana!
Zakupotea!
Hayuko juu ya sheria huyo. Akamatwe apelekwe au ajipeleke mwenyewe.